Swahili Page 4

ਅਸੰਖ ਭਗਤ ਗੁਣ ਗਿਆਨ ਵੀਚਾਰ ॥
asaNkh bhagat gun gi-aan veechaar.
Countless devotees contemplate the virtues and wisdom of the Almighty.
Wahumini wengi wasiohesabika wametafakari wema na hekima ya Mwenyezi Mungu.

ਅਸੰਖ ਸਤੀ ਅਸੰਖ ਦਾਤਾਰ ॥
asaNkh satee asaNkh daataar.
There are countless holy persons and countless the philanthropists.
Kuna watu watakatifu na watu wenye kusaidia wengine, hawahesabiki.

ਅਸੰਖ ਸੂਰ ਮੁਹ ਭਖ ਸਾਰ ॥
asaNkh soor muh bhakh saar.
There are countless spiritual heroic warriors, who bear the brunt of attack in the battlefield of life.
Kuna mashujaa wengi wa kiroho ambao hushambuliwa vikali katika uwanja wa vita vya kimaisha, hawahesabiki.

ਅਸੰਖ ਮੋਨਿ ਲਿਵ ਲਾਇ ਤਾਰ ॥
asaNkh mon liv laa-ay taar.
There are countless silent devotees who are attuned to the Almighty in single-minded devotion.
Kuna watu wengi wasiohesabika walijitolea na wameunganishwa na Mwenyezi Mungu kwa nia moja tu, ya kujitolea.

ਕੁਦਰਤਿ ਕਵਣ ਕਹਾ ਵੀਚਾਰੁ ॥
kudrat kavan kahaa veechaar.
As powerless as I am, how can I describe Your immense creation.
Jinsi nilivyo bila nguvu, nitawezaje kuelezea uumbaji wako mkubwa.

ਵਾਰਿਆ ਨ ਜਾਵਾ ਏਕ ਵਾਰ ॥
vaari-aa na jaavaa ayk vaar.
I have nothing to offer that befits Your Greatness. Offering even my life will not suffice.
Sina chochote cha kutoa kinachostahili ukuu wako, hata maisha yangu hayatoshi.

ਜੋ ਤੁਧੁ ਭਾਵੈ ਸਾਈ ਭਲੀ ਕਾਰ ॥ ਤੂ ਸਦਾ ਸਲਾਮਤਿ ਨਿਰੰਕਾਰ ॥੧੭॥
jo tuDh bhaavai saa-ee bhalee kaar. too sadaa salaamat nirankaar. ||17||
Whatever pleases You, is best for all. You alone are the Eternal and the Formless one. ||17||
Chochote kinachokufarisha wewe, ni bora kwa kila mtu.Wewe pekee ndiye wa milele na hauna umbo.

Stanza 18
As in the previous stanza, every line in this stanza also starts with the word ‘Asankh’ which means countless or infinite. Guru Nanak is expressing astonishment at the various forms of evils prevalent in the world. In the end, he states that God alone is eternal and formless one and whatever pleases Him is best for all.

Ubeti wa 18
Kama ilivyo katika ubeti uliopita,kila mstari katika ubeti huu unaanza kwa neno ‘Asankh’ linalomaanisha kutokuwa na mwisho. Guru Nanak anaelezea kushangazwa na aina nyingi za uovu ulioenea duniani. Mwishowe, anasema kuwa Mungu pekee ndiye wa milele na hana umbo, na kinachompendeza yeye ni bora kwa kila mtu.

ਅਸੰਖ ਮੂਰਖ ਅੰਧ ਘੋਰ ॥
asaNkh moorakh anDh ghor.
Countless are fools, blinded by ignorance.
Wapumbavu waliopofushwa kwa ujinga ni wengi, hawahesabiki

ਅਸੰਖ ਚੋਰ ਹਰਾਮਖੋਰ ॥
asaNkh chor haraamkhor.
Countless are thieves and embezzlers.
Wezi na wafujaji ni wengi, hawahesabiki

ਅਸੰਖ ਅਮਰ ਕਰਿ ਜਾਹਿ ਜੋਰ ॥
asaNkh amar kar jaahi jor.
Countless impose their will by force.
Wanaolazimisha matakwa yao ni wengi, hawahesabiki.

ਅਸੰਖ ਗਲਵਢ ਹਤਿਆ ਕਮਾਹਿ ॥
asaNkh galvadh hati-aa kamaahi.
Countless are cut-throats and ruthless killers.
Wanyongaji na wauaji wasio na huruma ni wengi, hawahesabiki

ਅਸੰਖ ਪਾਪੀ ਪਾਪੁ ਕਰਿ ਜਾਹਿ ॥
asaNkh paapee paap kar jaahi.
Countless are sinners who keep on sinning.
Wenye dhambi wanaoendelea kutenda dhambi ni wengi, hawahesabiki.

ਅਸੰਖ ਕੂੜਿਆਰ ਕੂੜੇ ਫਿਰਾਹਿ ॥
asaNkh koorhi-aar koorhay firaahi.
Countless are liars, wandering lost in their lies.
Waongo waliopotelea katika uwongo wao ni wengi, hawahesabiki.

ਅਸੰਖ ਮਲੇਛ ਮਲੁ ਭਖਿ ਖਾਹਿ ॥
asaNkh malaychh mal bhakh khaahi.
Countless are wicked who thrive on immoral behavior.
Waovu wanaonawiri kwa mienendo yao miovu ni wengi, hawahesabiki.

ਅਸੰਖ ਨਿੰਦਕ ਸਿਰਿ ਕਰਹਿ ਭਾਰੁ ॥
asaNkh nindak sir karahi bhaar.
Countless are slanderers who continue committing sins by speaking ill of others.
Wasemaji uongo wanaoendelea kutenda dhambi kwa kuongea mabaya kwa wengine ni wengi, hawahesabiki.

ਨਾਨਕੁ ਨੀਚੁ ਕਹੈ ਵੀਚਾਰੁ ॥
naanak neech kahai veechaar.
Nanak describes the state of the lowly (in the stanzas aforesaid).
Katika beti za hapo awali, Nanak anaelezea kuhusu watu wa hali ya chini.

ਵਾਰਿਆ ਨ ਜਾਵਾ ਏਕ ਵਾਰ ॥
vaari-aa na jaavaa ayk vaar.
I have nothing to offer that befits Your Greatness, not even my life.
Sina chochote cha kutoa kinachostahili ukuu wako, hata maisha yangu hayatoshi.

ਜੋ ਤੁਧੁ ਭਾਵੈ ਸਾਈ ਭਲੀ ਕਾਰ ॥ ਤੂ ਸਦਾ ਸਲਾਮਤਿ ਨਿਰੰਕਾਰ ॥੧੮॥
jo tuDh bhaavai saa-ee bhalee kaar. too sadaa salaamat nirankaar. ||18||
Whatever pleases You, is good for all. You alone are Eternal and Formless one. ||18||
Chochote kinachokufarisha wewe, ni bora kwa kila mtu.Wewe pekee ndiye wa milele na hauna umbo.

Stanza 19
As in the previous Stanza, each line here as well starts with the word ‘Asankh’, which means countless or infinite. In this stanza, Guru Nanak says in amazement that God’s creation is so vast that no words have the ability to describe its greatness.

Ubeti wa 19
Kama ilivyo katika ubeti uliopita,kila mstari katika ubeti huu unaanza kwa neno ‘Asankh’ linalomaanisha kutokuwa na mwisho. Katika huu ubeti, Guru Nanak anasema kwa mshangao kuwa uumbaji wake Mungu ni mkubwa san ana hakuna maneno yaliyo na uwezo wa kuelezea ukubwa wake.

ਅਸੰਖ ਨਾਵ ਅਸੰਖ ਥਾਵ ॥
asaNkh naav asaNkh thaav.
Countless are the names of your creations and countless of their places.
Majina ya vitu ulivyoumba hayahesabiki, na makao yao hayahesabiki.

ਅਗੰਮ ਅਗੰਮ ਅਸੰਖ ਲੋਅ ॥
agamm agamm asaNkh lo-a.
There are countless worlds that are inaccessible and unapproachable.
Kuna dunia nyingi zisizoweza kufikiwa na kukaribiwa.

ਅਸੰਖ ਕਹਹਿ ਸਿਰਿ ਭਾਰੁ ਹੋਇ ॥
asaNkh kehahi sir bhaar ho-ay.
Even the word countless cannot represent the infinite nature of His creation.
Hata neno ‘kutohesabika’ haliwezi kuwasilisha hali ya uumbaji wake usiokuwa na mwisho.

ਅਖਰੀ ਨਾਮੁ ਅਖਰੀ ਸਾਲਾਹ ॥
akhree naam akhree saalaah.
It is by the use of the words that His name can be recited; it is by the use of the words that His praises can be sung.
Ni kwa kutumia maneno, kwamba jina lake linaweza kukaririwa; ni kwa kutumia maneno, kwamba sifa zake zinaweza kuimbwa.

ਅਖਰੀ ਗਿਆਨੁ ਗੀਤ ਗੁਣ ਗਾਹ ॥
akhree gi-aan geet gun gaah.
It is through the medium of words that Divine Knowledge can be acquired, His praises sung and the virtues known.
Elimu ya kiukuu hupatikana kupitia kwa maneno. Sifa zake huimbwa na wema wake kujulikana.

ਅਖਰੀ ਲਿਖਣੁ ਬੋਲਣੁ ਬਾਣਿ ॥
akhree likhan bolan baan.
The written and spoken language can only be expressed using words.
Lugha iliyoandikwa na ile ya kuzungumzwa inaweza tu kuonyeshwa kupitia kwa maneno.

ਅਖਰਾ ਸਿਰਿ ਸੰਜੋਗੁ ਵਖਾਣਿ ॥
akhraa sir sanjog vakhaan.
Only through words one’s destiny can be explained.
Hatima ya mtu huelezwa kwa kutumia maneno.

ਜਿਨਿ ਏਹਿ ਲਿਖੇ ਤਿਸੁ ਸਿਰਿ ਨਾਹਿ ॥
jin ayhi likhay tis sir naahi.
He, who has written everybody’s destiny, is beyond destiny for Himself.
Yeye {Mungu} aliyeandika hatima ya kila mtu, hana mwisho.

ਜਿਵ ਫੁਰਮਾਏ ਤਿਵ ਤਿਵ ਪਾਹਿ ॥
jiv furmaa-ay tiv tiv paahi.
As He ordains, so do we receive.
Anavyoamuru ndivyo tupokeavyo

ਜੇਤਾ ਕੀਤਾ ਤੇਤਾ ਨਾਉ ॥ ਵਿਣੁ ਨਾਵੈ ਨਾਹੀ ਕੋ ਥਾਉ ॥
jaytaa keetaa taytaa naa-o. vin naavai naahee ko thaa-o.
The universe is the manifestation of Your Name. There is no place where He is not.
Ulimwengu ni dhihirisho la jina lako. Hakuna mahali ambapo Mungu hapatikani.

ਕੁਦਰਤਿ ਕਵਣ ਕਹਾ ਵੀਚਾਰੁ ॥ ਵਾਰਿਆ ਨ ਜਾਵਾ ਏਕ ਵਾਰ ॥
kudrat kavan kahaa veechaar. vaari-aa na jaavaa ayk vaar.
How can I describe Your Creative Power? I cannot even once be a sacrifice to You.
Nawezaje kuelezea nguvu zako bunifu? Hata siwezi nikawa dhabihu kwako.

ਜੋ ਤੁਧੁ ਭਾਵੈ ਸਾਈ ਭਲੀ ਕਾਰ ॥ ਤੂ ਸਦਾ ਸਲਾਮਤਿ ਨਿਰੰਕਾਰ ॥੧੯॥
jo tuDh bhaavai saa-ee bhalee kaar. too sadaa salaamat nirankaar. ||19||
Whatever pleases You, is what is truly good. You are the Eternal and Formless one. ||19||
Chochote kinachokufarisha wewe Mungu, ni bora kwa kila mtu.Wewe pekee ndiye wa milele na hauna umbo.

Stanza 20
In this stanza, Guru Nanak emphasizes the importance of spiritual ‘cleansing’ of mind. Evil thoughts and bad deeds are harmful to our minds. This pollution canbe removed from the mind by meditating on God with love and devotion. In this hymn, Guru Nanak says that a person becomes pure, not by ritualistic processes but by immersing in God’s Name with loving devotion.

Ubeti wa 20
Katika ubeti huu, Guru Nanak anasisitiza umuhimu wa kiroho wa akili. Mawazo na matendo mabaya ni hatari kwa akili zetu.Uchafuzi huu unaweza kutolewa kwa akili kwa kutafakari juu ya Mungu kwa upendo na kujitolea. Guru Nanak anasema kuwa mtu huwa safi sio kwa matambiko bali kwakuzama katika jina la Mungu kwa upendo na kujitolea.

ਭਰੀਐ ਹਥੁ ਪੈਰੁ ਤਨੁ ਦੇਹ ॥ ਪਾਣੀ ਧੋਤੈ ਉਤਰਸੁ ਖੇਹ ॥
bharee-ai hath pair tan dayh. paanee Dhotai utras khayh.
When the hands, feet and the body get dirty, water can wash away the dirt.
Mikono, miguu na mwili ikichafuka, maji inaweza kuondoa uchafu.

ਮੂਤ ਪਲੀਤੀ ਕਪੜੁ ਹੋਇ ॥ ਦੇ ਸਾਬੂਣੁ ਲਈਐ ਓਹੁ ਧੋਇ ॥
moot paleetee kaparh ho-ay. day saaboon la-ee-ai oh Dho-ay.
When clothes are soiled and stained by urine etc., soap can wash them clean.
Sabuni inaweza kutumika kuosha nguo zinapochafuliwakwa mkojo na kadhalika.

ਭਰੀਐ ਮਤਿ ਪਾਪਾ ਕੈ ਸੰਗਿ ॥ ਓਹੁ ਧੋਪੈ ਨਾਵੈ ਕੈ ਰੰਗਿ ॥
bharee-ai mat paapaa kai sang. oh Dhopai naavai kai rang.
But when the mind is polluted by evil thoughts and sins, it can be cleansed by only the recitation and love of Naam.
Lakini akili inapochafuliwa kwa fikira mbovu na dhambi, inaweza kusafishwa tu kwa kukariri na upendo kwa Naam (neno la Mungu)

ਪੁੰਨੀ ਪਾਪੀ ਆਖਣੁ ਨਾਹਿ ॥ ਕਰਿ ਕਰਿ ਕਰਣਾ ਲਿਖਿ ਲੈ ਜਾਹੁ ॥
punnee paapee aakhan naahi. kar kar karnaa likh lai jaahu.
‘Virtuous’ or ‘sinner’ are not just names; we become virtuous or sinner by the kind of deeds we commit and we carry those deeds over to the next life.
Waadili au wenye dhambi sio majina tu. Tunakua watu wema (waadili) ama wenye dhambi kulingana namatendo tunayotenda. Tunayabeba matendo hayo hadi kwenye maisha yajayo.

ਆਪੇ ਬੀਜਿ ਆਪੇ ਹੀ ਖਾਹੁ ॥ ਨਾਨਕ ਹੁਕਮੀ ਆਵਹੁ ਜਾਹੁ ॥੨੦॥
aapay beej aapay hee khaahu. naanak hukmee aavhu jaahu. ||20||
You shall harvest what you plant. (Rewards and punishments are the fruits of our deeds). O’ Nanak, as per His divine laws, you come and depart from this world based on your deeds. ||20||
Utavuna unachokipanda. Zawadi na adhabu ni matunda ya matendo yetu. O’Nanak.kulingana na sharia zake kuu, unakuja na kuondokaduniani kulingana na matendo yako.

Stanza 21
In this stanza, Guru Nanak says that a person becomes pure, not by ritualistic bathing etc. in a holy place, but by immersing in God’s Name with love and devotion. No matter how much knowledge a person may gain, it is not possible to fathom His greatness or know the secrets of His Creation. No matter how knowledgeable a person becomes, it is impossible to know things like when and how He created the Universe.

Ubeti wa 21
Katika ubeti huu, Guru Nanak anasemakuwa mtu hukua safi sio kwa matambiko katika eneo takatifu, bali kwa kuzama katika neno la Mungu kwa upendo na kujitolea. Haijalishi kiwangocha elimu cha mtu, haiwezekani kujua ukubwa wa Mung una siri za uumbaji wake. Hata mtu awe msomisana, hawezi kujua vitu kama vile lini na vipi Mungu aliumba ulimwengu.

ਤੀਰਥੁ ਤਪੁ ਦਇਆ ਦਤੁ ਦਾਨੁ ॥ ਜੇ ਕੋ ਪਾਵੈ ਤਿਲ ਕਾ ਮਾਨੁ ॥
tirath tap da-i-aa dat daan. jay ko paavai til kaa maan.
Pilgrimages, austere discipline, compassion and charity by themselves bring only an iota of inner bliss.
Hija, mambo magumu, rehema na hisani huleta neema kidogo sana.

ਸੁਣਿਆ ਮੰਨਿਆ ਮਨਿ ਕੀਤਾ ਭਾਉ ॥ ਅੰਤਰਗਤਿ ਤੀਰਥਿ ਮਲਿ ਨਾਉ ॥
suni-aa mani-aa man keetaa bhaa-o. antargat tirath mal naa-o.
A person who listens to Naam with complete devotion with love in heart, is doing the real pilgrimage by thoroughly cleansing his inner self. (by immersing in Naam)
Yeyote yule anayesikiza Naam (neno la Mungu) kwa kwakujitolea kikamilifu na upendo katika moyo wake, anafanya hija ya kweli kwa kujiosha nafsi.

ਸਭਿ ਗੁਣ ਤੇਰੇ ਮੈ ਨਾਹੀ ਕੋਇ ॥ ਵਿਣੁ ਗੁਣ ਕੀਤੇ ਭਗਤਿ ਨ ਹੋਇ ॥
sabh gun tayray mai naahee ko-ay. vin gun keetay bhagat na ho-ay.
Acquiring virtues is possible only by surrendering ego and reciting Naam. All virtue is in praising You, O’ Almighty! Without virtue, there can be no devotional worship.
Inawezekana kupata fadhila (wema) kwa kuachana na ego na kukariri Naam (neno la Mungu). Fadhil azote ni katika kukusifu, mwenye nguvu. Bila Fadhila, hakuwezi kuwepo na ibada ya kujitolea.

ਸੁਅਸਤਿ ਆਥਿ ਬਾਣੀ ਬਰਮਾਉ ॥ ਸਤਿ ਸੁਹਾਣੁ ਸਦਾ ਮਨਿ ਚਾਉ ॥
su-asat aath banee barmaa-o. sat suhaan sadaa man chaa-o.
I bow to You, the creator of Maya and the creator of the Divine Word. You are eternal, beautiful and alwayseverlasting inner joy.
Nakuinamia wewe muumba wa Maya na muumbaji wa neno kuu. Unaishi milele na unapendeza, na furaha ya kindani isiyo na kikomo.

ਕਵਣੁ ਸੁ ਵੇਲਾ ਵਖਤੁ ਕਵਣੁ ਕਵਣ ਥਿਤਿ ਕਵਣੁ ਵਾਰੁ ॥ ਕਵਣਿ ਸਿ ਰੁਤੀ ਮਾਹੁ ਕਵਣੁ ਜਿਤੁ ਹੋਆ ਆਕਾਰੁ ॥
kavan so vaylaa vakhat kavan kavan thit kavan vaar. kavan se rutee maahu kavan jit ho-aa aakaar.
What was that time, and what was that moment? What was that day, and what was that date? What was that season, and what was that month, when the Universe was created?
Saa hiyo ilikua ipi, na wakati huo ulikua upi? Ilikua siku gani? Na ilikua tarehe gani? Yalikua majira gani, na ulikua mwezi upi, dunia ilipoumbwa?

ਵੇਲ ਨ ਪਾਈਆ ਪੰਡਤੀ ਜਿ ਹੋਵੈ ਲੇਖੁ ਪੁਰਾਣੁ ॥
vayl na paa-ee-aa pandtee je hovai laykh puraan.
The Pandits (the Hindu scholars) did not know the time when the universe was created, otherwise they would have recorded it in the Puranas (Hindu Scriptures).
Pandits (wasomi wa dini ya kihindi) hawakujua wakati dunia ilipoumbwa,la sivyo wangekua wameandika katika Puranas (vitabu vya kidini vya kihindi).

ਵਖਤੁ ਨ ਪਾਇਓ ਕਾਦੀਆ ਜਿ ਲਿਖਨਿ ਲੇਖੁ ਕੁਰਾਣੁ ॥
vakhat na paa-i-o kaadee-aa je likhan laykh kuraan.
The Qadis (the Muslim scholars) did not know it either, otherwise they would have recorded it in the Quran.
Hata Qadi (wasomi wa dini ya kiislamu) hawakujia, la sivyo wangekua wameandika katika Quran.

ਥਿਤਿ ਵਾਰੁ ਨਾ ਜੋਗੀ ਜਾਣੈ ਰੁਤਿ ਮਾਹੁ ਨਾ ਕੋਈ ॥ ਜਾ ਕਰਤਾ ਸਿਰਠੀ ਕਉ ਸਾਜੇ ਆਪੇ ਜਾਣੈ ਸੋਈ ॥
thit vaar naa jogee jaanai rut maahu naa ko-ee. jaa kartaa sirthee ka-o saajay aapay jaanai so-ee.
The day, the date, the month or the season when the Universe was created were not known to the Yogis either. The Creator alone knows when He created the universe.
Yogis hawakujua siku, tarehe, mwezi au majira ambapo dunia iliumbwa. Ni Mungu muumbaji pekee anayejua wakati alipoumba dunia.

ਕਿਵ ਕਰਿ ਆਖਾ ਕਿਵ ਸਾਲਾਹੀ ਕਿਉ ਵਰਨੀ ਕਿਵ ਜਾਣਾ
kiv kar aakhaa kiv saalaahee ki-o varnee kiv jaanaa.
How can I speak of His Greatness? How can I praise Him? How can I describe His virtues? How can I know Him?
Nawezaje kuzungumzia ukubwa wake? Nawezaje kumsifu? Nawezaje kuelezea fadhila(wema) ake? Nawezaje kumjua?

error: Content is protected !!