Swahili Page 13

ਰਾਗੁ ਧਨਾਸਰੀ ਮਹਲਾ ੧ ॥
raag Dhanaasree mehlaa 1.
Raag Dhanasari, First Guru:
Raag Dhanasari, Guru wa kwanza:

ਗਗਨ ਮੈ ਥਾਲੁ ਰਵਿ ਚੰਦੁ ਦੀਪਕ ਬਨੇ ਤਾਰਿਕਾ ਮੰਡਲ ਜਨਕ ਮੋਤੀ ॥
gagan mai thaal rav chand deepak banay taarikaa mandal janak motee.
O’ God, the whole creation is performing Your Aarti (worship), the sky is like a platter in which the Sun and the Moon are like two lamps, and the clusters of stars are like studded pearls.
Ee Mungu, uumbaji wote unatenda Aarti (ibada) yako, anga ni kama sinia ambayo jua na mwezi ni kama taa mbili, na mkusanyiko wa nyota ni kama lulu zilizojaa.

ਧੂਪੁ ਮਲਆਨਲੋ ਪਵਣੁ ਚਵਰੋ ਕਰੇ ਸਗਲ ਬਨਰਾਇ ਫੂਲੰਤ ਜੋਤੀ ॥੧॥
Dhoop mal-aanlo pavan chavro karay sagal banraa-ay foolant jotee. ||1||
The fragrant air coming from the Malay mountain is like incense, the wind is like the cosmic chavar (fan) and all the vegetation is like offering of flowers, O’ the Luminous One.
Hewa yenye harufu nzuri inayotoka kwenye mlima Malay ni kama ubani, upepo ni kama chavar ya cosmiki (pepeo) na mimea yote ni kama matoleo ya maua, Ee mwenye Mwangaza.

ਕੈਸੀ ਆਰਤੀ ਹੋਇ ॥ ਭਵ ਖੰਡਨਾ ਤੇਰੀ ਆਰਤੀ ॥
kaisee aartee ho-ay. bhav khandnaa tayree aartee.
O’ destroyer of the fear (of birth and death), what a wonderful Aarti (worship) of Yours is being performed.
Ee mwangamizi wa woga (wa kuzaliwa na kufa), ni Aarti (ibada) nzuri yako inayotendwa.

ਅਨਹਤਾ ਸਬਦ ਵਾਜੰਤ ਭੇਰੀ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
anhataa sabad vaajant bhayree. ||1|| rahaa-o.
The flowing melody of divine music (sound of the heart beats of all living beings) is like the sound of drums being played in Your Aartee.
Nyimbo takatifu inayotiririka (sauti ya mipigo ya moyo ya viumbe vinavyoishi) ni kama sauti ya ngoma ikipigwa katika Aartee.

ਸਹਸ ਤਵ ਨੈਨ ਨਨ ਨੈਨ ਹਹਿ ਤੋਹਿ ਕਉ ਸਹਸ ਮੂਰਤਿ ਨਨਾ ਏਕ ਤੋੁਹੀ ॥
sahas tav nain nan nain heh tohi ka-o sahas moorat nanaa ayk tohee.
O’ God, You have thousands of eyes (because You pervade all the creatures), and yet You have no eyes (because You are formless). You have thousands of forms, and yet You have no form of Your own.
Ee Mungu, una maelfu ya macho (kwa sababu unaenea katika viumbe vyote), na ila huna macho (kwa sababu huna muundo yoyote). Una maelfu ya miundo na ila huna muundo wowote wako.

ਸਹਸ ਪਦ ਬਿਮਲ ਨਨ ਏਕ ਪਦ ਗੰਧ ਬਿਨੁ ਸਹਸ ਤਵ ਗੰਧ ਇਵ ਚਲਤ ਮੋਹੀ ॥੨॥
sahas pad bimal nan ayk pad ganDh bin sahas tav ganDh iv chalat mohee. ||2||
You have thousands of immaculate Feet (because You pervade all the creatures), yet Youhave no feet (because You are formless). You have thousands of noses, yet You have no nose. This Play of Yours entrances me.
Wewe una maelfu ya miguu safi kabisa (kwa sababu unaenea kati ya viumbe vyote), ila Wewe huna miguu (kwa sababu huna muundo). Una maelfu ya mapua, ila huna pua. Mchezo huu wako unanistaajabisha.

ਸਭ ਮਹਿ ਜੋਤਿ ਜੋਤਿ ਹੈ ਸੋਇ ॥
sabh meh jot jot hai so-ay.
The light or power flowing in everyone is from the same Supreme Light (God).
Mwanga au nguvu inayotiririka ndani mwa kila mtu inatoka kutoka Mwanga Mmoja Mkuu (Mungu).

ਤਿਸ ਦੈ ਚਾਨਣਿ ਸਭ ਮਹਿ ਚਾਨਣੁ ਹੋਇ ॥
tis dai chaanan sabh meh chaanan ho-ay.
The light (power of thinking) illuminating in all, is from the same Eternal lighthouse.
Mwanga (nguvu ya kufikiria) unaoangaza ndani mwa wote, ni kutoka Mnara wa Mwanga Mmoja wa milele.

ਗੁਰ ਸਾਖੀ ਜੋਤਿ ਪਰਗਟੁ ਹੋਇ ॥
gur saakhee jot pargat ho-ay.
But this understanding is revealed only by Guru’s teachings (that the source of life is the same in every one)
Lakini kuelewa huku kunatambuliwa tu kupitia mafundisho ya Guru (ya kwamba chanzo cha uhai ni sawa katika kila mmoja)

ਜੋ ਤਿਸੁ ਭਾਵੈ ਸੁ ਆਰਤੀ ਹੋਇ ॥੩॥
jo tis bhaavai so aartee ho-ay. ||3||
Therefore, accepting what pleases God is His true worship.
Hivyo basi, kukubali kinachompendeza Mungu ni ibada yake ya kweli.

ਹਰਿ ਚਰਣ ਕਵਲ ਮਕਰੰਦ ਲੋਭਿਤ ਮਨੋ ਅਨਦਿਨੋੁ ਮੋਹਿ ਆਹੀ ਪਿਆਸਾ ॥
har charan kaval makrand lobhit mano andino mohi aahee pi-aasaa.
O’ God, my heart longs for Your Divine Name, every day I am thirsty for the nectar of Your Name.
Ee Mungu, moyo wangu una hamu ya jina lako takatifu, kila siku nina kiu ya nekta ya jina lako.

ਕ੍ਰਿਪਾ ਜਲੁ ਦੇਹਿ ਨਾਨਕ ਸਾਰਿੰਗ ਕਉ ਹੋਇ ਜਾ ਤੇ ਤੇਰੈ ਨਾਇ ਵਾਸਾ ॥੪॥੩॥
kirpaa jal deh naanak saaring ka-o ho-ay jaa tay tayrai naa-ay vaasaa. ||4||3||
O’ God, Nanak is craving for Your Name like a songbird craves for a drop of rain, please bestow Your grace upon me so that I remain absorbed in Your Name.
Ee Mungu, Nanak anatamani jina lako kama vile ndege wa wimbo anavyotamani tone la mvua, tafadhali tawaza neema yako kwangu ndiposa nibaki nimezama katika jina lako.

ਰਾਗੁ ਗਉੜੀ ਪੂਰਬੀ ਮਹਲਾ ੪ ॥
raag ga-orhee poorbee mehlaa 4.
Raag Gauree Poorbee, Fourth Guru:
Raag Gauree Poorbee, Guru wa Nne:

ਕਾਮਿ ਕਰੋਧਿ ਨਗਰੁ ਬਹੁ ਭਰਿਆ ਮਿਲਿ ਸਾਧੂ ਖੰਡਲ ਖੰਡਾ ਹੇ ॥
kaam karoDh nagar baho bhari-aa mil saaDhoo khandal khanda hay.
This human body is brimful with the vices of anger and lust, these vices can be destroyed only by meeting the true Guru.
Mwili huu wa kibinadamu umejaa maovu ya hasira na usherati, maovu haya yanaweza kuangamizwatu kwa kukutana na Guru wa kweli.

ਪੂਰਬਿ ਲਿਖਤ ਲਿਖੇ ਗੁਰੁ ਪਾਇਆ ਮਨਿ ਹਰਿ ਲਿਵ ਮੰਡਲ ਮੰਡਾ ਹੇ ॥੧॥
poorab likhat likhay gur paa-i-aa man har liv mandal mandaa hay. ||1||
But it is only by pre ordained writ that the Guru is met, whose teachings fills the mind with love and devotion for God.
Lakini ni kwa maandishi yaliyoagizwa mapema tu ambapo Guru anapatwa, ambaye mafundisho yake yanajaa kwenye akili na upendo na kujitolea kwa Mungu.

ਕਰਿ ਸਾਧੂ ਅੰਜੁਲੀ ਪੁਨੁ ਵਡਾ ਹੇ ॥
kar saaDhoo anjulee pun vadaa hay.
Pay obeisance to the Guru with humility, this is an act of great merit.
Fanya ibada kwa Guru kwa unyenyekevu, hili ni tendo la ustahili kuu.

ਕਰਿ ਡੰਡਉਤ ਪੁਨੁ ਵਡਾ ਹੇ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
kar dand-ut pun vadaa hay. ||1|| rahaa-o.
Bow down before Him; this is a virtuous action indeed.
Sujudu mbele zake; kwa kweli hiki ni kitendo takatifu.

ਸਾਕਤ ਹਰਿ ਰਸ ਸਾਦੁ ਨ ਜਾਣਿਆ ਤਿਨ ਅੰਤਰਿ ਹਉਮੈ ਕੰਡਾ ਹੇ ॥
saakat har ras saad na jaani-aa tin antar ha-umai kandaa hay.
The non-believers do not appreciate the delight of remembering God because the thorn of egotism is embedded deep within them.
Wasioamini hawathamini furaha ya kumkumbuka Mungu kwa sababu mwiba wa ubinafsi umepachikwa kwa kina ndani mwao.

ਜਿਉ ਜਿਉ ਚਲਹਿ ਚੁਭੈ ਦੁਖੁ ਪਾਵਹਿ ਜਮਕਾਲੁ ਸਹਹਿ ਸਿਰਿ ਡੰਡਾ ਹੇ ॥੨॥
ji-o ji-o chaleh chubhai dukh paavahi jamkaal saheh sir dandaa hay. ||2||
More they behave in life with ego, more they suffer, like walking on foot pierced with thorn. They ultimately bear the torture of death.
Wanavyozidi kuishi maisha kwa ubinafsi, wanazidi kuteseka, kana kwamba wanatembea miguu tupu iliyodungwa na miba. Mwishowe wanapitia mateso ya kifo.

ਹਰਿ ਜਨ ਹਰਿ ਹਰਿ ਨਾਮਿ ਸਮਾਣੇ ਦੁਖੁ ਜਨਮ ਮਰਣ ਭਵ ਖੰਡਾ ਹੇ ॥
har jan har har naam samaanay dukh janam maran bhav khanda hay.
(on the other hand), God loving people remain immersed in His loving devotion and are freed from the cycle of birth and death.
(Kwa upande mwingine), watu wanaompenda Mungu wanabaki wamemakinikia kujitolea kwake kwa upendo na wanakombolewa kutoka mzunguko wa kuzaliwa na kufa.

ਅਬਿਨਾਸੀ ਪੁਰਖੁ ਪਾਇਆ ਪਰਮੇਸਰੁ ਬਹੁ ਸੋਭ ਖੰਡ ਬ੍ਰਹਮੰਡਾ ਹੇ ॥੩॥
abhinaasee purakh paa-i-aa parmaysar baho sobh khand barahmandaa hay. ||3||
They realize the indestructible, supreme God, and their fame spreads in all the regions of the universe.
Wanagundua Mungu Mkuu asiyeangamia, na umaarufu wake unaenea katika maeneo yote ya ulimwengu.

ਹਮ ਗਰੀਬ ਮਸਕੀਨ ਪ੍ਰਭ ਤੇਰੇ ਹਰਿ ਰਾਖੁ ਰਾਖੁ ਵਡ ਵਡਾ ਹੇ ॥
ham gareeb maskeen parabh tayray har raakh raakh vad vadaa hay.
O’ God, we are poor and meek, but still Yours. You are the greatest of the great, please protect us from the these vices.
Ee Mungu, sisi ni maskini na wapole, lakini sisi ni wako. Wewe ndiwe mkuu kati ya wakuu wote, tafadhali tulinde kutoka maovu haya.

ਜਨ ਨਾਨਕ ਨਾਮੁ ਅਧਾਰੁ ਟੇਕ ਹੈ ਹਰਿ ਨਾਮੇ ਹੀ ਸੁਖੁ ਮੰਡਾ ਹੇ ॥੪॥੪॥
jan naanak naam aDhaar tayk hai har naamay hee sukh mandaa hay. ||4||4||
O’ Nanak, God’s Name is the only sustenance and true support, and it is only through Naam that we experience the celestial peace.
Ee Nanak, jina la Mungu ni riziki ya pekee na nguzo ya kweli, na ni kupitia Naam tu ambako tunahisi amani ya mbinguni.

ਰਾਗੁ ਗਉੜੀ ਪੂਰਬੀ ਮਹਲਾ ੫ ॥
raag ga-orhee poorbee mehlaa 5.
Raag Gauree Poorbee, by the Fifth Guru:
Raag Gauree Poorbee, na Guru wa Tano:

ਕਰਉ ਬੇਨੰਤੀ ਸੁਣਹੁ ਮੇਰੇ ਮੀਤਾ ਸੰਤ ਟਹਲ ਕੀ ਬੇਲਾ ॥
kara-o baynantee sunhu mayray meetaa sant tahal kee baylaa.
O’ my friends, listen! I submit to you that this human life is the only opportunity to follow the Guru’s teaching (because only Guru can bless you with Naam).
Ee rafiki zangu, sikizeni! Nawasilisha kwenu ya kwamba maisha haya ya kibinadamu ni fursa ya kipekee ya kufuata mafundisho ya Guru (kwa sababu ni Guru pekee ambaye anaweza kukubariki kwa Naam).

ਈਹਾ ਖਾਟਿ ਚਲਹੁ ਹਰਿ ਲਾਹਾ ਆਗੈ ਬਸਨੁ ਸੁਹੇਲਾ ॥੧॥
eehaa khaat chalhu har laahaa aagai basan suhaylaa. ||1||
The human life is the opportunity to earn the wealth of God’s Name, so that you will be comfortable in the next world (God’s court).
Maisha haya ya kibinadamu ni fursa ya kupata utajiri wa jina la Mungu, ndiposa utakuwa na starehe katika dunia itakayofuata (mahakama ya Mungu).

ਅਉਧ ਘਟੈ ਦਿਨਸੁ ਰੈਣਾਰੇ ॥ ਮਨ ਗੁਰ ਮਿਲਿ ਕਾਜ ਸਵਾਰੇ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
a-oDh ghatai dinas rainaaray. man gur mil kaaj savaaray. ||1|| rahaa-o.
O’ my mind, every day and night one’s remaining life is diminishing. Let us make this life a success by following the Guru’s teaching (before it is too late).
Ee akili yangu, kila mchana na usiku maisha ya mtu yanayobaki yanazidi kupungua. Basi tufanikishe maisha haya kwa kufuata mafundisho ya Guru (kabla hatujachelewa).

ਇਹੁ ਸੰਸਾਰੁ ਬਿਕਾਰੁ ਸੰਸੇ ਮਹਿ ਤਰਿਓ ਬ੍ਰਹਮ ਗਿਆਨੀ ॥
ih sansaar bikaar sansay meh tari-o barahm gi-aanee.
This world is engrossed in vices and cynicism, only a divinely wise person is able to swim across the world-ocean of vices.
Dunia hii imezama katika maovu na kutokuaminiana, ni mtu mtakatifu mwenye busara pekee anayeweza kuogelea akivuka bahari-dunia ya dhambi.

ਜਿਸਹਿ ਜਗਾਇ ਪੀਆਵੈ ਇਹੁ ਰਸੁ ਅਕਥ ਕਥਾ ਤਿਨਿ ਜਾਨੀ ॥੨॥
jisahi jagaa-ay pee-aavai ih ras akath kathaa tin jaanee. ||2||
Only the one, whom God awakens from the slumber of worldly involvements andhelps to savor the joy of His Name, understands this indescribable mystery.
Ni yule mmoja pekee, ambaye Mungu anaamsha kutoka usingizi wa mishirikisho ya kidunia na kuwasaidia kufurahia faraja ya jina lake, anaelewa siri isiyoweza kuelezwa.

ਜਾ ਕਉ ਆਏ ਸੋਈ ਬਿਹਾਝਹੁ ਹਰਿ ਗੁਰ ਤੇ ਮਨਹਿ ਬਸੇਰਾ ॥
jaa ka-o aa-ay so-ee bihaajhahu har gur tay maneh basayraa.
O’ my friends, amass only that wealth for which you have come to this world. It is only through the Guru that God can dwell in your heart.
Ee rafiki zangu, kusanyeni tu utajiri ambao umekuleta duniani humu. Ni kwa kupitia Guru tu ambako Mungu anaweza kuishi moyoni mwako.

ਨਿਜ ਘਰਿ ਮਹਲੁ ਪਾਵਹੁ ਸੁਖ ਸਹਜੇ ਬਹੁਰਿ ਨ ਹੋਇਗੋ ਫੇਰਾ ॥੩॥
nij ghar mahal paavhu sukh sehjay bahur na ho-igo fayraa. ||3||
In this way, you will peacefully and spontaneously find God within yourself and there will be no more rounds of birth and death for you.
Kwa njia hii, utapata Mungu kwa amani na hiari ndani mwako na hakutakuwa tena na mizunguko ya kuzaliwa na kufa kwako.

ਅੰਤਰਜਾਮੀ ਪੁਰਖ ਬਿਧਾਤੇ ਸਰਧਾ ਮਨ ਕੀ ਪੂਰੇ ॥
antarjaamee purakh biDhaatay sarDhaa man kee pooray.
O’ all knowing, Supreme Creator, please fulfill this yearning of my mind.
Ee Muumba Mkuu unayejua yote, tafadhali timiza hamu hii ya akili yangu.

ਨਾਨਕ ਦਾਸੁ ਇਹੈ ਸੁਖੁ ਮਾਗੈ ਮੋ ਕਉ ਕਰਿ ਸੰਤਨ ਕੀ ਧੂਰੇ ॥੪॥੫॥
naanak daas ihai sukh maagai mo ka-o kar santan kee Dhooray. ||4||5||
that I may serve (remain in the company of) Your true devotees without ego, this is the only happiness Your servant Nanak asks for.
Ndiposa nihudumie (nibaki katika kikundi cha) wafuasi wako wa kweli bila ubinafsi, hii ndio furaha ya pekee mtumishi wako Nanak anaulizia.

error: Content is protected !!