ਮੇਰੇ ਰਾਮ ਮੈ ਮੂਰਖ ਹਰਿ ਰਾਖੁ ਮੇਰੇ ਗੁਸਈਆ ॥
mayray raam mai moorakh har raakh mayray gus-ee-aa.
O’ my God, I am ignorant, please keep me in Your refuge.
Ee Mungu wangu, mimi ni mjinga, tafadhali niweke katika kimbilio chako.
ਜਨ ਕੀ ਉਪਮਾ ਤੁਝਹਿ ਵਡਈਆ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
jan kee upmaa tujheh vad-ee-aa. ||1|| rahaa-o.
Your devotee’s praise is Your Own Glorious Greatness. ||1||Pause||
Sifa ya mtawa wako ni Ukuu Tukufu wako Mwenyewe. ||1||Sitisha||
ਮੰਦਰਿ ਘਰਿ ਆਨੰਦੁ ਹਰਿ ਹਰਿ ਜਸੁ ਮਨਿ ਭਾਵੈ ॥
mandar ghar aanand har har jas man bhaavai.
One who loves to recite the praises of God always rejoices in bliss.
Yule anayependa kukariri sifa za Mungu daima anafurahia katika raha tele.
ਸਭ ਰਸ ਮੀਠੇ ਮੁਖਿ ਲਗਹਿ ਜਾ ਹਰਿ ਗੁਣ ਗਾਵੈ ॥
sabh ras meethay mukh lageh jaa har gun gaavai.
When one sings praises of God with love, one feels as if he is enjoying all the sweet delicacies.
Wakati mtu anaimba sifa za Mungu kwa upendo, mtu anahisi kana kwamba anafurahia vitoweo vyote vitamu.
ਹਰਿ ਜਨੁ ਪਰਵਾਰੁ ਸਧਾਰੁ ਹੈ ਇਕੀਹ ਕੁਲੀ ਸਭੁ ਜਗਤੁ ਛਡਾਵੈ ॥੨॥
har jan parvaar saDhaar hai ikeeh kulee sabh jagat chhadaavai. ||2||
A devotee of God not only helps to save all his fellow devotees, but also saves the entire world from vices. ||2||
Mtawa wa Mungu hasaidii tu kukomboa watawa wenzake. Lakini pia anakomboa dunia nzima kutoka dhambi.
ਜੋ ਕਿਛੁ ਕੀਆ ਸੋ ਹਰਿ ਕੀਆ ਹਰਿ ਕੀ ਵਡਿਆਈ ॥
jo kichh kee-aa so har kee-aa har kee vadi-aa-ee.
Whatever is seen in the world is what God has done and this is the glory of God.
Chochote kinachoonekana duniani ni kile ambacho Mungu amefanya nacho ndicho utukufu wa Mungu.
ਹਰਿ ਜੀਅ ਤੇਰੇ ਤੂੰ ਵਰਤਦਾ ਹਰਿ ਪੂਜ ਕਰਾਈ ॥
har jee-a tayray tooN varatdaa har pooj karaa-ee.
O’ God, all the creatures are Your creation; You are pervading in them and You inspire them for Your devotional worship.
Ee Mungu, viumbe vyote ni uumbaji wako; unapenyeza ndani mwao na Wewe unawahamamisha kwa ibada yako ya kujitolea.
ਹਰਿ ਭਗਤਿ ਭੰਡਾਰ ਲਹਾਇਦਾ ਆਪੇ ਵਰਤਾਈ ॥੩॥
har bhagat bhandaar lahaa-idaa aapay vartaa-ee. ||3||
God Himself bestows the treasure of devotional worship on the mortals. ||3||
Mungu mwenyewe anatawaza hazina ya ibada ya kujitolea kwa binadamu.
ਲਾਲਾ ਹਾਟਿ ਵਿਹਾਝਿਆ ਕਿਆ ਤਿਸੁ ਚਤੁਰਾਈ ॥
laalaa haat vihaajhi-aa ki-aa tis chaturaa-ee.
If a slave has been bought from market, none of his cleverness can work before the master.
Iwapo mtumwa amenunuliwa kutoka sokoni, hakuna uwerevu wake unafanya kazi mbele ya bwana wake.
ਜੇ ਰਾਜਿ ਬਹਾਲੇ ਤਾ ਹਰਿ ਗੁਲਾਮੁ ਘਾਸੀ ਕਉ ਹਰਿ ਨਾਮੁ ਕਢਾਈ ॥
jay raaj bahaalay taa har gulaam ghaasee ka-o har naam kadhaa-ee.
Even if God makes His true devotee a king, he still remains God’s servant; if He makes His devotee a pauper, he still utters His Name.
Hata iwapo Mungu afanye mtawa wake wa kweli awe mfalme, bado anabaki kuwa mtumishi wa Mungu; iwapo afanye mtawa wake awe maskini, bado anatamka Jina Lake.
ਜਨੁ ਨਾਨਕੁ ਹਰਿ ਕਾ ਦਾਸੁ ਹੈ ਹਰਿ ਕੀ ਵਡਿਆਈ ॥੪॥੨॥੮॥੪੬॥
jan naanak har kaa daas hai har kee vadi-aa-ee. ||4||2||8||46||
Nanak is the humble devotee of God and reflects on His glory, ||4||2||8||46||
Nanak ni mtawa mnyenyekevu wa Mungu na anatafakari kuhusu utukufu Wake,
ਗਉੜੀ ਗੁਆਰੇਰੀ ਮਹਲਾ ੪ ॥
ga-orhee gu-aarayree mehlaa 4.
Raag Gauri Bairagan, Fourth Guru:
Raag Gauri Bairagan, Guru wa Nne:
ਕਿਰਸਾਣੀ ਕਿਰਸਾਣੁ ਕਰੇ ਲੋਚੈ ਜੀਉ ਲਾਇ ॥
kirsaanee kirsaan karay lochai jee-o laa-ay.
A farmer does farming, and puts his heart and soul into his work.
Mkulima anafanya ukulima, na kuweka moyo na roho yake katika kazi yake.
ਹਲੁ ਜੋਤੈ ਉਦਮੁ ਕਰੇ ਮੇਰਾ ਪੁਤੁ ਧੀ ਖਾਇ ॥
hal jotai udam karay mayraa put Dhee khaa-ay.
He works hard to plow the fields so that he can feed his family.
Anafanya bidii kulima shamba ndiposa aweze kulisha familia yake.
ਤਿਉ ਹਰਿ ਜਨੁ ਹਰਿ ਹਰਿ ਜਪੁ ਕਰੇ ਹਰਿ ਅੰਤਿ ਛਡਾਇ ॥੧॥
ti-o har jan har har jap karay har ant chhadaa-ay. ||1||
Similarly, God’s devotee meditates on Naam so that in the end God may liberate him from the demons of death. ||1||
Vivyo hivyo, mtawa wa Mungu anatafakari kuhusu Naam ndiposa mwishowe Mungu amkomboe kutoka mapepo wa kifo.
ਮੈ ਮੂਰਖ ਕੀ ਗਤਿ ਕੀਜੈ ਮੇਰੇ ਰਾਮ ॥
mai moorakh kee gat keejai mayray raam.
O’ my God, I am ignorant, please redeem me.
Ee Mungu, mimi ni mjinga, tafadhali nikomboe.
ਗੁਰ ਸਤਿਗੁਰ ਸੇਵਾ ਹਰਿ ਲਾਇ ਹਮ ਕਾਮ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
gur satgur sayvaa har laa-ay ham kaam. ||1|| rahaa-o.
O’ God, make meserve the true Guru by following his teachings. ||1||Pause||
Ee Mungu, nifanye nitumikie Guru wa kweli kwa kufuata mafundisho yake. ||1||Sitisha||
ਲੈ ਤੁਰੇ ਸਉਦਾਗਰੀ ਸਉਦਾਗਰੁ ਧਾਵੈ ॥
lai turay sa-udaagree sa-udaagar Dhaavai.
Loading horses with merchandise, a trader goes out to do business.
Akijaza farasi na bidhaa, mfanya biashara anakwenda kufanya biashara.
ਧਨੁ ਖਟੈ ਆਸਾ ਕਰੈ ਮਾਇਆ ਮੋਹੁ ਵਧਾਵੈ ॥
Dhan khatai aasaa karai maa-i-aa moh vaDhaavai.
He earns wealth, hopes for more wealth and thus increases his attachment to worldly wealth.
Anachuma utajiri, akitumaini kupata utajiri zaidi na hivyo anaongeza kiambatisho yake kwa utajiri wa kidunia.
ਤਿਉ ਹਰਿ ਜਨੁ ਹਰਿ ਹਰਿ ਬੋਲਤਾ ਹਰਿ ਬੋਲਿ ਸੁਖੁ ਪਾਵੈ ॥੨॥
ti-o har jan har har boltaa har bol sukh paavai. ||2||
Similarly God’s devotee utters God’s Name again and again and by uttering God’s Name enjoys true peace. ||2||
Vivyo hivyo, mtawa wa Mungu anatamka Jina la Mungu tena natena na kwa kutamka Jina la Mungu anafurahia amani halisi.
ਬਿਖੁ ਸੰਚੈ ਹਟਵਾਣੀਆ ਬਹਿ ਹਾਟਿ ਕਮਾਇ ॥
bikh sanchai hatvaanee-aa bahi haat kamaa-ay.
Worldly wealth amassed by deceit or greed by the businessman is like a poison.
Utajiri wa kidunia unaokusanywa kwa ulaghai au tamaa na mfanya biashara ni kama sumu.
ਮੋਹ ਝੂਠੁ ਪਸਾਰਾ ਝੂਠ ਕਾ ਝੂਠੇ ਲਪਟਾਇ ॥
moh jhooth pasaaraa jhooth kaa jhoothay laptaa-ay.
This attachment and display of Maya is nothing but false and he is engrossed in falsehood.
Kiambatisho hiki na maonyesho ya Maya sio chochote ila uongo na amevama katika udanganyifu.
ਤਿਉ ਹਰਿ ਜਨਿ ਹਰਿ ਧਨੁ ਸੰਚਿਆ ਹਰਿ ਖਰਚੁ ਲੈ ਜਾਇ ॥੩॥
ti-o har jan har Dhan sanchi-aa har kharach lai jaa-ay. ||3||
Similarly, God’s devotee keeps on acquiring the wealth of God’s Name, he takes this wealth along with him on his journey into the next world. ||3||
Vivyo hivyo, mtawa wa Mungu anaendelea kupata utajiri wa Jina la Mungu, anachukua utajiri huu pamoja naye katika safari inayoelekea kwa dunia inayofuata.
ਇਹੁ ਮਾਇਆ ਮੋਹ ਕੁਟੰਬੁ ਹੈ ਭਾਇ ਦੂਜੈ ਫਾਸ ॥
ih maa-i-aa moh kutamb hai bhaa-ay doojai faas.
This attachment for worldly wealth and family is like an entanglement that gets us caught in the noose of duality.
Kiambatisho hiki kwa utajiri wa kidunia na familia ni kama mtego unaotunasa katika kitanzi cha uwili.
ਗੁਰਮਤੀ ਸੋ ਜਨੁ ਤਰੈ ਜੋ ਦਾਸਨਿ ਦਾਸ ॥
gurmatee so jan tarai jo daasan daas.
Only that person swims across the worldly ocean of vices who follows the Guru’s teachings and becomes the humble servant of God’s devotees.
Mtu huyo pekee anaogelea akivuka bahari ya kidunia ya dhambi ambaye anafuata mafundisho ya Guru na kuwa mtumishi mnyenyekevu wa watawa wa Mungu.
ਜਨਿ ਨਾਨਕਿ ਨਾਮੁ ਧਿਆਇਆ ਗੁਰਮੁਖਿ ਪਰਗਾਸ ॥੪॥੩॥੯॥੪੭॥
jan naanak naam Dhi-aa-i-aa gurmukh pargaas. ||4||3||9||47||
By following the Guru’s teachings, Nanak has lovingly meditated on Naam and has been spiritually enlightened, ||4||3||9||47||
Kwa kufuata mafundisho ya Guru, Nanak ametafakari kwa upendo kuhusu Naam na ameangazwa kiroho.
ਗਉੜੀ ਬੈਰਾਗਣਿ ਮਹਲਾ ੪ ॥
ga-orhee bairaagan mehlaa 4.
Raag Gauri Bairagan, Fourth Guru:
Raag Gauri Bairagan, Guru wa Nne:
ਨਿਤ ਦਿਨਸੁ ਰਾਤਿ ਲਾਲਚੁ ਕਰੇ ਭਰਮੈ ਭਰਮਾਇਆ ॥
nit dinas raat laalach karay bharmai bharmaa-i-aa.
one works day and night obsessed by the greed for Maya and remains strayed by delusions of Maya,
mtu anafanya kazi mchana na usiku kwa kuvama katika tamaa ya Maya na anabaki amepotoshwa kwa udanganyifu wa Maya.
ਵੇਗਾਰਿ ਫਿਰੈ ਵੇਗਾਰੀਆ ਸਿਰਿ ਭਾਰੁ ਉਠਾਇਆ ॥
vaygaar firai vaygaaree-aa sir bhaar uthaa-i-aa.
is like a forced laborer carrying the loads on his head without getting paid.
Ni kama mtumwa anayebeba mizigo kichwani pake bila kulipwa.
ਜੋ ਗੁਰ ਕੀ ਜਨੁ ਸੇਵਾ ਕਰੇ ਸੋ ਘਰ ਕੈ ਕੰਮਿ ਹਰਿ ਲਾਇਆ ॥੧॥
jo gur kee jan sayvaa karay so ghar kai kamm har laa-i-aa. ||1||
But the devotee who serves the Guru by following his teachings, God has assigned him to meditate on Naam, which is his real work. ||1||
Lakini mtawa anayetumikia Guru kwa kufuata mafundisho yake, Mungu amemteua kutafakari kuhusu Naam, ambako ni kazi yake halisi.
ਮੇਰੇ ਰਾਮ ਤੋੜਿ ਬੰਧਨ ਮਾਇਆ ਘਰ ਕੈ ਕੰਮਿ ਲਾਇ ॥
mayray raam torh banDhan maa-i-aa ghar kai kamm laa-ay.
O’ God, please snap our bonds of Maya and put us to our real job of devotional worship,
Ee Mungu, tafadhali vunja vifungo vyetu vya Maya na utuweke kwenye kazi yetu halisi ya ibada ya kujitolea.
ਨਿਤ ਹਰਿ ਗੁਣ ਗਾਵਹ ਹਰਿ ਨਾਮਿ ਸਮਾਇ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
nit har gun gaavah har naam samaa-ay. ||1|| rahaa-o.
so that attuned to Naam, we may always sing Your praises. ||1||Pause||
ndiposa tukimakinikia Naam, tuweze kuimba sifa zako daima. ||1||Sitisha||
ਨਰੁ ਪ੍ਰਾਣੀ ਚਾਕਰੀ ਕਰੇ ਨਰਪਤਿ ਰਾਜੇ ਅਰਥਿ ਸਭ ਮਾਇਆ ॥
nar paraanee chaakree karay narpat raajay arath sabh maa-i-aa.
A mortal works for the king only for the sake of Maya (worldly wealth).
Binadamu anafanyia kazi mfalme tu kwa ajili ya Maya (utajiri wa kidunia).
ਕੈ ਬੰਧੈ ਕੈ ਡਾਨਿ ਲੇਇ ਕੈ ਨਰਪਤਿ ਮਰਿ ਜਾਇਆ ॥
kai banDhai kai daan lay-ay kai narpat mar jaa-i-aa.
Many times this rular displeased for any reason, imprisons him or imposes fine. Sometimes the rular himself dies and this person’s service goes to waste.
Mara nyingi mtawala huyo akichukizwa kwa sababu yoyote, anamfunga jela ama kumtoza faini. Wakati mwengine mtawala mwenyewe anaaga dunia na huduma ya mtu huyu inaenda bure.
ਧੰਨੁ ਧਨੁ ਸੇਵਾ ਸਫਲ ਸਤਿਗੁਰੂ ਕੀ ਜਿਤੁ ਹਰਿ ਹਰਿ ਨਾਮੁ ਜਪਿ ਹਰਿ ਸੁਖੁ ਪਾਇਆ ॥੨॥
dhan dhan sayva safal satguroo kee jit har har naam jap har sukh paa-i-aa. ||2||
Blessed and fruitful is the service of the True Guru; through this service one meditates on God’s Name and enjoys the bliss. ||2||
Imebarikiwa na ina mafanikio huduma kwa Guru wa kweli; kupitia huduma hii mtu anatafakari kuhusu Jina la Mungu na kufurahia raha tele.
ਨਿਤ ਸਉਦਾ ਸੂਦੁ ਕੀਚੈ ਬਹੁ ਭਾਤਿ ਕਰਿ ਮਾਇਆ ਕੈ ਤਾਈ ॥
nit sa-udaa sood keechai baho bhaat kar maa-i-aa kai taa-ee.
Everyday, one enters into different kind of business to earn worldly wealth.
Kila siku, mtu anajiingiza katika aina tofauti ya biashara kuchuma utajiri wa kidunia.
ਜਾ ਲਾਹਾ ਦੇਇ ਤਾ ਸੁਖੁ ਮਨੇ ਤੋਟੈ ਮਰਿ ਜਾਈ ॥
jaa laahaa day-ay taa sukh manay totai mar jaa-ee.
If this business brings profit then one feels happy, but a loss breaks his heart.
Iwapo bishara hiyo ilete faida basi anahisi furaha, lakini hasara inavunja moyo wake.
ਜੋ ਗੁਣ ਸਾਝੀ ਗੁਰ ਸਿਉ ਕਰੇ ਨਿਤ ਨਿਤ ਸੁਖੁ ਪਾਈ ॥੩॥
jo gun saajhee gur si-o karay nit nit sukh paa-ee. ||3||
On the other hand, when one sings the praises of God in the company of the Guru, finds a lasting peace. ||3||
Kwa upande mwingine, wakati mtu anaimba sifa za Mungu katika uandamano wa Guru, anapata amani ya kudumu.