Swahili Page 491

ਗੁਰੂ ਵਿਟਹੁ ਹਉ ਵਾਰਿਆ ਜਿਸੁ ਮਿਲਿ ਸਚੁ ਸੁਆਉ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
guroo vitahu ha-o vaari-aa jis mil sach su-aa-o. ||1|| rahaa-o.
I am dedicated to my Guru, meeting whom I have obtained the true purpose of my life, the meditation on God’s Name. ||1||Pause||
Nimejiweka wakfu kwa Guru wangu, ambaye kwa kukutana naye nimepata kusudi halisi la maisha yangu, kutafakari kuhusu Jina la Mungu. ||1||Sitisha||

ਸਗੁਨ ਅਪਸਗੁਨ ਤਿਸ ਕਉ ਲਗਹਿ ਜਿਸੁ ਚੀਤਿ ਨ ਆਵੈ ॥
sagun apasgun tis ka-o lageh jis cheet na aavai.
Good omens and bad omens affect those who do not remember God.
Ishara nzuri na ishara mbaya zinaathiri wale ambao hawamkumbuki Mungu.

ਤਿਸੁ ਜਮੁ ਨੇੜਿ ਨ ਆਵਈ ਜੋ ਹਰਿ ਪ੍ਰਭਿ ਭਾਵੈ ॥੨॥
tis jam nayrh na aavee jo har parabh bhaavai. ||2||
The Messenger of Death does not approach those who are pleasing to God. ||2||
Mjumbe wa Kifo hajongei wale ambao wanapendeza kwa Mungu.

ਪੁੰਨ ਦਾਨ ਜਪ ਤਪ ਜੇਤੇ ਸਭ ਊਪਰਿ ਨਾਮੁ ॥
punn daan jap tap jaytay sabh oopar naam.
Meditation on Naam is higher than all the charities, worships, and penances.
Kutafakari Naam ni kwa juu zaidi kuliko hisani, ibada na toba zote.

ਹਰਿ ਹਰਿ ਰਸਨਾ ਜੋ ਜਪੈ ਤਿਸੁ ਪੂਰਨ ਕਾਮੁ ॥੩॥
har har rasnaa jo japai tis pooran kaam. ||3||
One who utters God’s Name with loving devotion repeatedly, his purpose of human life is accomplished. ||3||
Yule anayetamka Jina la Mungu kwa ujitoaji wa upendo mara kwa mara, kusudi lake la maisha la kibinadamu linatimizwa.

ਭੈ ਬਿਨਸੇ ਭ੍ਰਮ ਮੋਹ ਗਏ ਕੋ ਦਿਸੈ ਨ ਬੀਆ ॥
bhai binsay bharam moh ga-ay ko disai na bee-aa.
All their dreads, doubts and worldly attachments are destroyed and to them no one seems a stranger.
Hofu, shaka na viambatisho vyao vyote vya kidunia vinaangamizwa na kwake hakuna mtu anaonekana kuwa mgeni.

ਨਾਨਕ ਰਾਖੇ ਪਾਰਬ੍ਰਹਮਿ ਫਿਰਿ ਦੂਖੁ ਨ ਥੀਆ ॥੪॥੧੮॥੧੨੦॥
naanak raakhay paarbarahm fir dookh na thee-aa. ||4||18||120||
O’ Nanak, those who are protected by the supreme God are not afflicted with any misery. ||4||18||120||
Ee nanak, wale wanaolindwa na Mungu mkuu hawaathiriwi na taabu yoyote.

ਆਸਾ ਘਰੁ ੯ ਮਹਲਾ ੫
aasaa ghar 9 mehlaa 5
Raag Aasaa, Ninth beat, Fifth Guru:
Raag Aasaa, Mpigo wa Tisa, Guru wa Tano:

ੴ ਸਤਿਗੁਰ ਪ੍ਰਸਾਦਿ ॥
ik-oNkaar satgur parsaad.
One eternal God, realized by the grace of the true Guru:
Mungu Mmoja wa milele, anayegunduliwa kwa neema ya Guru wa kweli:

ਚਿਤਵਉ ਚਿਤਵਿ ਸਰਬ ਸੁਖ ਪਾਵਉ ਆਗੈ ਭਾਵਉ ਕਿ ਨ ਭਾਵਉ ॥
chitva-o chitav sarab sukh paava-o aagai bhaava-o ke na bhaava-o.
I attain total peace by remembering God within my consciousness, but I do not know whether I will be pleasing to Him or not in his court.
Napata amani kamilifu kwa kumkumbuka Mungu ndani mwa fahamu yangu, lakini sijui iwapo nitampendeza Yeye au la katika mahakama yake.

ਏਕੁ ਦਾਤਾਰੁ ਸਗਲ ਹੈ ਜਾਚਿਕ ਦੂਸਰ ਕੈ ਪਹਿ ਜਾਵਉ ॥੧॥
ayk daataar sagal hai jaachik doosar kai peh jaava-o. ||1||
There is only one Giver and all others are beggars; who else can I turn to? ||1||
Kuna Mpaji mmoja pekee na wote wengine ni waombaji; ninaweza kumgeukia nani mwengine?

ਹਉ ਮਾਗਉ ਆਨ ਲਜਾਵਉ ॥
ha-o maaga-o aan lajaava-o.
I feel ashamed begging from any other except God.
Nahisi aibu nikimwomba mwengine isipokuwa Mungu.

ਸਗਲ ਛਤ੍ਰਪਤਿ ਏਕੋ ਠਾਕੁਰੁ ਕਉਨੁ ਸਮਸਰਿ ਲਾਵਉ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
sagal chhatarpat ayko thaakur ka-un samsar laava-o. ||1|| rahaa-o.
The Master-God is the sovereign king of all, so how can I equate anybody else to Him? ||1||Pause||
Bwana-Mungu ni mfalme mwenyezi wa wote, sasa ninawezaje kusawazisha yeyote na Yeye? ||1||Sitisha||

ਊਠਉ ਬੈਸਉ ਰਹਿ ਭਿ ਨ ਸਾਕਉ ਦਰਸਨੁ ਖੋਜਿ ਖੋਜਾਵਉ ॥
ooth-o baisa-o reh bhe na saaka-o darsan khoj khojaava-o.
I cannot spiritually survive without realizing God, I am restless without havingHis blessed vision, therefore, I keep searching for Him restlessly.
Siwezi kuishi kiroho bila kumgundua Mungu, mimi sina utulivu bila kuwa na mwono wake uliobarikiwa, hivyo basi, naendelea kumtafuta Yeye bila kutulia.

ਬ੍ਰਹਮਾਦਿਕ ਸਨਕਾਦਿਕ ਸਨਕ ਸਨੰਦਨ ਸਨਾਤਨ ਸਨਤਕੁਮਾਰ ਤਿਨ੍ਹ੍ਹ ਕਉ ਮਹਲੁ ਦੁਲਭਾਵਉ ॥੨॥
barahmaadik sankaadik sanak sanandan sanaatan sanatkumaar tinH ka-o mahal dulbhaava-o. ||2||
It remained impossible to realize God even for angels like Brahma and the sages Sanak, Sanandan, Sanaatan and Sanat Kumar. ||2||
Haikuwezekana kugundua Mungu hata kwa malaika kama Brahma na wajuzi Sanak, Sanandan, Sanaatan na Sanat Kumar.

ਅਗਮ ਅਗਮ ਆਗਾਧਿ ਬੋਧ ਕੀਮਤਿ ਪਰੈ ਨ ਪਾਵਉ ॥
agam agam aagaaDh boDh keemat parai na paava-o.
God is incomprehensible and infinite, His wisdom is profound; His worth cannot be assessed, nor can I assess it.
Mungu hawezi kueleweka wala hana mwisho, Hekima yake ni kubwa mno; thamani yake haiwezi kukadiriwa, wala siwezi kuikadiria.

ਤਾਕੀ ਸਰਣਿ ਸਤਿ ਪੁਰਖ ਕੀ ਸਤਿਗੁਰੁ ਪੁਰਖੁ ਧਿਆਵਉ ॥੩॥
taakee saran sat purakh kee satgur purakh Dhi-aava-o. ||3||
I have sought the refuge of the eternal God and I contemplate on the true Guru’s teachings. ||3||
Nimetafuta kimbilio cha Mungu wa milele nami natafakari kuhusu mafundisho ya Guru wa kweli.

ਭਇਓ ਕ੍ਰਿਪਾਲੁ ਦਇਆਲੁ ਪ੍ਰਭੁ ਠਾਕੁਰੁ ਕਾਟਿਓ ਬੰਧੁ ਗਰਾਵਉ ॥
bha-i-o kirpaal da-i-aal parabh thaakur kaati-o banDh garaava-o.
The Master-God has become kind and gracious; He has cut the bond of my ignorance.
Bwana-Mungu amekuwa mwema na mwenye neema; Yeye amekata kifungo cha ujinga wangu.

ਕਹੁ ਨਾਨਕ ਜਉ ਸਾਧਸੰਗੁ ਪਾਇਓ ਤਉ ਫਿਰਿ ਜਨਮਿ ਨ ਆਵਉ ॥੪॥੧॥੧੨੧॥
kaho naanak ja-o saaDhsang paa-i-o ta-o fir janam na aava-o. ||4||1||121||
Nanak says, now that I have obtained the company of the saint, I would not go through the rounds of birth and death. ||4||1||121||
Nanak anasema, sasa kwani nimepata uandamano wa mtakatifu, sitapitia mizunguko ya kuzaliwa na kufa.

ਆਸਾ ਮਹਲਾ ੫ ॥
aasaa mehlaa 5.
Raag Aasaa, Fifth Guru:
Raag Aasaa, Guru wa Tano:

ਅੰਤਰਿ ਗਾਵਉ ਬਾਹਰਿ ਗਾਵਉ ਗਾਵਉ ਜਾਗਿ ਸਵਾਰੀ ॥
antar gaava-o baahar gaava-o gaava-o jaag savaaree.
I Keep singing God’s Praises in my heart whether I am awake, sleeping, or I am outside dealing with others.
Mimi naendelea kuimba Sifa za Mungu moyoni mwangu iwapo nimeamka, ninalala au niko nje nikishughulika na wengine.

ਸੰਗਿ ਚਲਨ ਕਉ ਤੋਸਾ ਦੀਨ੍ਹ੍ਹਾ ਗੋਬਿੰਦ ਨਾਮ ਕੇ ਬਿਉਹਾਰੀ ॥੧॥
sang chalan ka-o tosaa deenHaa gobind naam kay bi-uhaaree. ||1||
The merchants of God’s Name, (the saintly persons) have given me the sustance of God’s Name for my journey through life and beyond. ||1||
wachuuzi wa Jina la Mungu, (watu watakatifu) wamenipa riziki ya Jina la Mungu kwa minajili ya safari ya maisha na akhera.

ਅਵਰ ਬਿਸਾਰੀ ਬਿਸਾਰੀ ॥
avar bisaaree bisaaree.
I have forsaken all other supports; yes I have forgotten the all other supports.
Nimeacha tegemezo yote nyingine; ndio nimesahau tegemezo yote nyingine.

ਨਾਮ ਦਾਨੁ ਗੁਰਿ ਪੂਰੈ ਦੀਓ ਮੈ ਏਹੋ ਆਧਾਰੀ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
naam daan gur poorai dee-o mai ayho aaDhaaree. ||1|| rahaa-o.
The Perfect Guru has blessed me with the Gift of Naam and this alone is the support in my life. ||1||Pause||
Guru Kamili amenibariki na Thawabu ya Naam na hii pekee ndiyo tegemezo ya maisha yangu. ||1||Sitisha||

ਦੂਖਨਿ ਗਾਵਉ ਸੁਖਿ ਭੀ ਗਾਵਉ ਮਾਰਗਿ ਪੰਥਿ ਸਮ੍ਹ੍ਹਾਰੀ ॥
dookhan gaava-o sukh bhee gaava-o maarag panth samHaaree.
I keep singing God’s praises whether I am in painor in comfort; I remember Himthrough my journey in life,
Naendelea kuimba sifa za Mungu iwapo ni katika uchungu au raha; namkumbuka Yeye katika safari yangu maishani,

ਨਾਮ ਦ੍ਰਿੜੁ ਗੁਰਿ ਮਨ ਮਹਿ ਦੀਆ ਮੋਰੀ ਤਿਸਾ ਬੁਝਾਰੀ ॥੨॥
naam darirh gur man meh dee-aa moree tisaa bujhaaree. ||2||
The Guru has firmly enshrined Naam in my mind which has quenched my worldly desires. ||2||
Guru amethamini kwa uthabiti Naam akilini mwangu ambayo imezima hamu zangu za kidunia.

ਦਿਨੁ ਭੀ ਗਾਵਉ ਰੈਨੀ ਗਾਵਉ ਗਾਵਉ ਸਾਸਿ ਸਾਸਿ ਰਸਨਾਰੀ ॥
din bhee gaava-o rainee gaava-o gaava-o saas saas rasnaaree.
I sing His Praises during the day, I sing His Praises during the night; I sing them with each and every breath,
Naimba Sifa zake mchana, naimba Sifa zake usiku; naziimba kwa kila pumzi ninayopumua.

ਸਤਸੰਗਤਿ ਮਹਿ ਬਿਸਾਸੁ ਹੋਇ ਹਰਿ ਜੀਵਤ ਮਰਤ ਸੰਗਾਰੀ ॥੩॥
satsangat meh bisaas ho-ay har jeevat marat sangaaree. ||3||
by staying in the holy congregation, this faith is established that God is always with us in life and death. ||3||
kwa kukaa katika ushirika mtakatifu, imani hii imaimarishwa kwamba Mungu daima yu nasi katika uhai na katika kifo.

ਜਨ ਨਾਨਕ ਕਉ ਇਹੁ ਦਾਨੁ ਦੇਹੁ ਪ੍ਰਭ ਪਾਵਉ ਸੰਤ ਰੇਨ ਉਰਿ ਧਾਰੀ ॥
jan naanak ka-o ih daan dayh parabh paava-o sant rayn ur Dhaaree.
O’ God, bless me, Your devotee Nanak, with this gift that I may remain inthe humble service of Your saints and enshrine it in my heart;
Ee Mungu, nibariki, mtawa wako Nanak, kwa thawabu hii kwamba niweze kubaki katika huduma nyenyekevu ya watakatifu wako na kuithamini moyoni mwangu;

ਸ੍ਰਵਨੀ ਕਥਾ ਨੈਨ ਦਰਸੁ ਪੇਖਉ ਮਸਤਕੁ ਗੁਰ ਚਰਨਾਰੀ ॥੪॥੨॥੧੨੨॥
sarvanee kathaa nain daras paykha-o mastak gur charnaaree. ||4||2||122||
With my head bowed before the Guru, I may listen to Your praises with my ears, and I may see Your blessed sight with my eyes. ||4||2||122||
Kichwa changu kikiinamishwa mbele ya Guru, niweze kusikiliza sifa zako kwa masikio yangu na niweze kuona mwono wako uliobarikiwa kwa macho yangu.

ੴ ਸਤਿਗੁਰ ਪ੍ਰਸਾਦਿ ॥
ik-oNkaar satgur parsaad.
One eternal God, realized by the grace of the true Guru:
Mungu Mmoja wa milele, anayegunduliwa kwa neema ya Guru wa kweli:

ਆਸਾ ਘਰੁ ੧੦ ਮਹਲਾ ੫ ॥
aasaa ghar 10 mehlaa 5.
Raag Aasaa, Tenth beat, Fifth Guru:
Raag Aasaa, Mpigo wa Kumi, Guru wa Tano:

ਜਿਸ ਨੋ ਤੂੰ ਅਸਥਿਰੁ ਕਰਿ ਮਾਨਹਿ ਤੇ ਪਾਹੁਨ ਦੋ ਦਾਹਾ ॥
jis no tooN asthir kar maaneh tay paahun do daahaa.
O’ my mind, that which you believe to be permanent, is a guest for a short while.
Ee akili yangu, kile ambacho unaamini kuwa cha kudumu, ni mgeni kwa muda mfupi.

error: Content is protected !!