Swahili Page 74

ਸੁਣਿ ਗਲਾ ਗੁਰ ਪਹਿ ਆਇਆ ॥
sun galaa gur peh aa-i-aa.
I heard of the Guru, and so I went to Him.
Nilisikia kuhusu Guru, na hivyo nikaenda kwake.

ਨਾਮੁ ਦਾਨੁ ਇਸਨਾਨੁ ਦਿੜਾਇਆ ॥
naam daan isnaan dirhaa-i-aa.
He instilled within me the Naam, the goodness of charity and true cleansing.
Yeye alisitawisha ndani mwangu Naam, uzuri wa ukarimu na utakaso wa kweli.

ਸਭੁ ਮੁਕਤੁ ਹੋਆ ਸੈਸਾਰੜਾ ਨਾਨਕ ਸਚੀ ਬੇੜੀ ਚਾੜਿ ਜੀਉ ॥੧੧॥
sabh mukat ho-aa saisaarrhaa naanak sachee bayrhee chaarh jee-o. ||11||
All the world is liberated, O Nanak, by embarking upon the path of Truth.
Dunia yote inakombolewa, Ee Nanak, kwa kusafiri kwenye njia ya Ukweli.

ਸਭ ਸ੍ਰਿਸਟਿ ਸੇਵੇ ਦਿਨੁ ਰਾਤਿ ਜੀਉ ॥
sabh sarisat sayvay din raat jee-o.
O’ God, the entire Universe serves and meditate upon You, day and night.
Ee Mungu, Uliwengu mzima unakutumikia na kutafakari kuhusu Wewe, mchana na usiku.

ਦੇ ਕੰਨੁ ਸੁਣਹੁ ਅਰਦਾਸਿ ਜੀਉ ॥
day kann sunhu ardaas jee-o.
You listen to every one’s prayers very attentively.
Wewe unasikiliza maombi ya kila mmoja kwa umakini mno.

ਠੋਕਿ ਵਜਾਇ ਸਭ ਡਿਠੀਆ ਤੁਸਿ ਆਪੇ ਲਇਅਨੁ ਛਡਾਇ ਜੀਉ ॥੧੨॥
thok vajaa-ay sabh dithee-aa tus aapay la-i-an chhadaa-ay jee-o. ||12||
I have fully examined all claims made by different persons, and have concluded that only You Yourself has saved anyone from the vices.
Mimi nimechunguza madai yote yaliyotolewa na watu tofauti, na nimehitimisha kwamba ni Wewe Mwenyewe tu ambaye umeokoa mtu yeyote kutoka kwa maovu.

ਹੁਣਿ ਹੁਕਮੁ ਹੋਆ ਮਿਹਰਵਾਣ ਦਾ ॥
hun hukam ho-aa miharvaan daa.
Now, the Merciful Almighty has issued His Command.
Sasa, Mwenyezi mwenye Huruma ametoa Amri yake.

ਪੈ ਕੋਇ ਨ ਕਿਸੈ ਰਞਾਣਦਾ ॥
pai ko-ay na kisai ranjaandaa.
That the vices cannot hurt anyone in the Guru’s protection.
Kwamba maovu hayawezi kudhuru mtu yeyote aliye katika ulinzi wa Guru.

ਸਭ ਸੁਖਾਲੀ ਵੁਠੀਆ ਇਹੁ ਹੋਆ ਹਲੇਮੀ ਰਾਜੁ ਜੀਉ ॥੧੩॥
sabh sukhaalee vuthee-aa ih ho-aa halaymee raaj jee-o. ||13||
Everyone who has been blessed by God lives in peace. The rule of humility and compassion has been established.
Kila mtu ambaye amebarikiwa na Mungu anaishi kwa amani. Kanuni ya unyenyekevu na ukarimu imethibitishwa.

ਝਿੰਮਿ ਝਿੰਮਿ ਅੰਮ੍ਰਿਤੁ ਵਰਸਦਾ ॥
jhimm jhimm amrit varasdaa.
Softly and gently drops of the Ambrosial Nectar of His Name trickles down.
Kwa upole na utulivu matone ya Nekta ya Ambrosia ya Jina lake yanatiririka chini.

ਬੋਲਾਇਆ ਬੋਲੀ ਖਸਮ ਦਾ ॥
bolaa-i-aa bolee khasam daa.
Inspired by God Himself, I utter the words His praises.
Nikihamasishwa na Mungu Mwenyewe, ninatamka maneno ya sifa zake.

ਬਹੁ ਮਾਣੁ ਕੀਆ ਤੁਧੁ ਉਪਰੇ ਤੂੰ ਆਪੇ ਪਾਇਹਿ ਥਾਇ ਜੀਉ ॥੧੪॥
baho maan kee-aa tuDh upray tooN aapay paa-ihi thaa-ay jee-o. ||14||
I take great pride in you. I am certain that You would approve (what I utter).
Napata fahari kubwa kwako Wewe. Nina uhakika kwamba utaidhinisha (kile ninachotamka).

ਤੇਰਿਆ ਭਗਤਾ ਭੁਖ ਸਦ ਤੇਰੀਆ ॥ ਹਰਿ ਲੋਚਾ ਪੂਰਨ ਮੇਰੀਆ ॥
tayri-aa bhagtaa bhukh sad tayree-aa, har lochaa pooran mayree-aa.
O’ God, please fulfill this desire of mine, that Your devotee may always remainlonging for Your love.
Ee Mungu, tafadhali timiza hamu hii yangu, kwamba mtawa wako aweze kusalia anatamani upendo wako daima.

ਦੇਹੁ ਦਰਸੁ ਸੁਖਦਾਤਿਆ ਮੈ ਗਲ ਵਿਚਿ ਲੈਹੁ ਮਿਲਾਇ ਜੀਉ ॥੧੫॥
dayh daras sukh-daati-aa mai gal vich laihu milaa-ay jee-o. ||15||
O’ Giver of Peace, Grant me Your Blessed Vision, keep me in Your protection.
Ee Mpaji wa Amani, Ruzuku kwangu Mwono wako Uliobarikiwa, niweke katika ulinzi wako.

ਤੁਧੁ ਜੇਵਡੁ ਅਵਰੁ ਨ ਭਾਲਿਆ ॥
tuDh jayvad avar na bhaali-aa.
I have not found any other as Great as You.
Sijapata mwengine yeyote aliye Mkuu kama Wewe.

ਤੂੰ ਦੀਪ ਲੋਅ ਪਇਆਲਿਆ ॥
toon deep lo-a pa-i-aali-aa.
You pervade the continents, the worlds and the nether regions;
Wewe unaenea kwa mabara, dunia na maeneo ya chini ya dunia;

ਤੂੰ ਥਾਨਿ ਥਨੰਤਰਿ ਰਵਿ ਰਹਿਆ ਨਾਨਕ ਭਗਤਾ ਸਚੁ ਅਧਾਰੁ ਜੀਉ ॥੧੬॥
Toon thaan thanantar rav rahi-aa naanak bhagtaa sach aDhaar jee-o. ||16||
You are permeating all places and interspaces. O Nanak, You are the True Support of Your devotees.
Wewe unapenyeza mahali pote na kati ya kila mahali. Ee Nanak, Wewe ndiwe Tegemezo ya Kweli ya watawa wako.

ਹਉ ਗੋਸਾਈ ਦਾ ਪਹਿਲਵਾਨੜਾ ॥
ha-o gosaa-ee daa pahilvaanrhaa.
(This world is like an arena) and I am a lowly wrestler of my Master blessed with strength to defeat great champions like Lust, Anger, and Greed.
(Dunia hii ni kama medani) nami ni mpiganaji wa hali ya chini wa Bwana wangu na nimebarikiwa na nguvu ya kushinda mabingwa wakuu kama Ukware, Hasira, na Tamaa.

ਮੈ ਗੁਰ ਮਿਲਿ ਉਚ ਦੁਮਾਲੜਾ ॥
mai gur mil uch dumaalrhaa.
But after meeting the Guru (and receiving his blessing), I am wearing the high headgear of a champion (I was able to defeat the five passions).
Lakini baada ya kukutana na Guru (na kupokea baraka yake), ninavaa kofia ya juu ya bingwa (niliweza kushinda zile shauku tano).

ਸਭ ਹੋਈ ਛਿੰਝ ਇਕਠੀਆ ਦਯੁ ਬੈਠਾ ਵੇਖੈ ਆਪਿ ਜੀਉ ॥੧੭॥
sabh ho-ee chhinjh ikthee-aa da-yu baithaa vaykhai aap jee-o. ||17||
All have gathered to watch the wrestling match with my vices, and the Merciful God Himself is seated to behold it.
Wote wamekusanyika kutazama vita dhidi yangu na maovu yangu, na Mungu Mwenyewe mwenye huruma amekaa kuitazama.

ਵਾਤ ਵਜਨਿ ਟੰਮਕ ਭੇਰੀਆ ॥
vaat vajan tamak bhayree-aa.
Trumpets,bugles, drums, and flutes are being played. (The play of Maya)
Tarumbeta, buruji, ngoma, na filimbi zinachezwa. (Mchezo wa Maya)

ਮਲ ਲਥੇ ਲੈਦੇ ਫੇਰੀਆ ॥
mal lathay laiday fayree-aa.
The wrestlers (vices) enter the arena and circle around.
Wapiganaji (maovu) wanaingia kwenye medani na kuzunguka mle.

ਨਿਹਤੇ ਪੰਜਿ ਜੁਆਨ ਮੈ ਗੁਰ ਥਾਪੀ ਦਿਤੀ ਕੰਡਿ ਜੀਉ ॥੧੮॥
nihtay panj ju-aan mai gur thaapee ditee kand jee-o. ||18||
After receiving a blessing from the Guru, I have floored (and defeated) the five youthful wrestlers (Lust, Anger, Greed, Attachment, and Ego).
Baada ya kupokra baraka kutoka kwa Guru, nimeangusha (na kushinda) wapiganaji watano (Ukware, Hasira, Tamaa, Kiambatisho, na Ubinafsi).

ਸਭ ਇਕਠੇ ਹੋਇ ਆਇਆ ॥
sabh ikthay ho-ay aa-i-aa.
All people (souls) have come into this world-arena (to fight their own battles),
Watu wote (roho) wamekuja katika dunia-medani hii (kupigana vita vyao wenyewe).

ਘਰਿ ਜਾਸਨਿ ਵਾਟ ਵਟਾਇਆ ॥
ghar jaasan vaat vataa-i-aa.
but they will go back by different routes.(according to their deeds in this world they will be reincarnated in different species)
lakini watarudi kwa njia tofauti. (kulingana na vitendo vyao duniani humu watapata umwilisho katika spishi tofauti)

ਗੁਰਮੁਖਿ ਲਾਹਾ ਲੈ ਗਏ ਮਨਮੁਖ ਚਲੇ ਮੂਲੁ ਗਵਾਇ ਜੀਉ ॥੧੯॥
gurmukh laahaa lai ga-ay manmukh chalay mool gavaa-ay jee-o. ||19||
The Guru’s followers shall depart from here after earning the wealth of Naam, and the self-conceited would return having lost whatever merits they came with.
Wafuasi wa Guru wataondoka kutoka humu baada ya kuchuma utajiri wa Naam, na wenye majivuno binafsi wanarudi wakiwa wamepoteza sifa zozote ambazo walikuja nazo.

ਤੂੰ ਵਰਨਾ ਚਿਹਨਾ ਬਾਹਰਾ ॥
Toon varnaa chihnaa baahraa.
O’ God, You are beyond any colors or forms.
Ee Mungu, Wewe umezidi rangi au miundo yoyote,

ਹਰਿ ਦਿਸਹਿ ਹਾਜਰੁ ਜਾਹਰਾ ॥
har diseh haajar jaahraa.
Yet Your presence is felt everywhere.
Ila uwepo wako unahisiwa kila mahali.

ਸੁਣਿ ਸੁਣਿ ਤੁਝੈ ਧਿਆਇਦੇ ਤੇਰੇ ਭਗਤ ਰਤੇ ਗੁਣਤਾਸੁ ਜੀਉ ॥੨੦॥
sun sun tujhai Dhi-aa-iday tayray bhagat ratay guntaas jee-o. ||20||
O, the treasures of virtues, repeatedly hearing Your glories and imbued with Your love, Your devotees meditate on You.
Ee hazina ya fadhila, mara kwa mara wakisikia sifa zako na kupenyezwa na upendo wako, watawa wako wanatafakari kuhusu Wewe.

ਮੈ ਜੁਗਿ ਜੁਗਿ ਦਯੈ ਸੇਵੜੀ ॥
mai jug jug da-yai sayvrhee.
Through age after age, I am the servant of the Merciful God.
Enzi baada ya enzi, mimi ni mtumishi wa Mungu mwenye Huruma.

ਗੁਰਿ ਕਟੀ ਮਿਹਡੀ ਜੇਵੜੀ ॥
gur katee mihdee jayvrhee.
The Guru has cut away my bonds of worldly attachments.
Guru amekata vifungo vyangu vya viambatisho vya kidunia.

ਹਉ ਬਾਹੁੜਿ ਛਿੰਝ ਨ ਨਚਊ ਨਾਨਕ ਅਉਸਰੁ ਲਧਾ ਭਾਲਿ ਜੀਉ ॥੨੧॥੨॥੨੯॥
ha-o baahurh chhinjh na nach-oo naanak a-osar laDhaa bhaal jee-o. ||21||2||29||
O’ Nanak, I shall not have to dance in this arena of life again. because I have found this invaluable opportunity to meditate on God’s Name.
Ee Nanak, sitalazimika kucheza katika medani hii ya maisha tena kwa sababu nimepata fursa hii isiyokadirika ya kutafakari Jina la Mungu.

ੴ ਸਤਿਗੁਰ ਪ੍ਰਸਾਦਿ ॥
ik-onkaar satgur parsaad.
One God. realized by the Grace of the True Guru:
Mungu Mmoja. Anayegunduliwa kwa Neema ya Guru wa Kweli:

ਸਿਰੀਰਾਗੁ ਮਹਲਾ ੧ ਪਹਰੇ ਘਰੁ ੧ ॥
sireeraag mehlaa 1 pahray ghar 1.
Siree Raag, by the First Guru, Pehray, First beat:
Siree Raag, na Guru wa Kwanza, Pehray, mpigo wa Kwanza:

ਪਹਿਲੈ ਪਹਰੈ ਰੈਣਿ ਕੈ ਵਣਜਾਰਿਆ ਮਿਤ੍ਰਾ ਹੁਕਮਿ ਪਇਆ ਗਰਭਾਸਿ ॥
pahilai pahrai rain kai vanjaari-aa mitraa hukam pa-i-aa garbhaas.
In the first watch of the night (stage of life), O my merchant friend, you were cast into the womb of your mother, by God’s Command.
Katika mtazamo wa kwanza wa usiku (hatua ya maisha), Ee rafiki wangu mchuuzi, ulitupwa kwenye chupa cha uzazi cha mama yako, kwa Amri ya Mungu.

ਉਰਧ ਤਪੁ ਅੰਤਰਿ ਕਰੇ ਵਣਜਾਰਿਆ ਮਿਤ੍ਰਾ ਖਸਮ ਸੇਤੀ ਅਰਦਾਸਿ ॥
uraDh tap antar karay vanjaari-aa mitraa khasam saytee ardaas.
Upside-down, within the womb, you performed penance, O my merchant friend, and you prayed to your Master.
Kichwa chini miguu juu, ndani mwa tumbo la mama, ulifanya toba, Ee rafiki yangu mchuuzi, na ulisali kwa Bwana wako.

ਖਸਮ ਸੇਤੀ ਅਰਦਾਸਿ ਵਖਾਣੈ ਉਰਧ ਧਿਆਨਿ ਲਿਵ ਲਾਗਾ ॥
khasam saytee ardaas vakhaanai uraDh Dhi-aan liv laagaa.
You uttered prayers to your Master, while upside-down, and you meditated on Him with deep love and affection.
Ulitamka maombi kwa Bwana wako, wakati upo kichwa chini miguu juu, na ulitafakari kumhusu Yeye kwa upendo na mapenzi ya kina.

ਨਾ ਮਰਜਾਦੁ ਆਇਆ ਕਲਿ ਭੀਤਰਿ ਬਾਹੁੜਿ ਜਾਸੀ ਨਾਗਾ ॥
naa marjaad aa-i-aa kal bheetar baahurh jaasee naagaa.
(A person) comes out naked into the world, and in the end departs also naked.
(Mtu) anakuja duniani humu uchi, na mwishowe anaondoka uchi pia.

ਜੈਸੀ ਕਲਮ ਵੁੜੀ ਹੈ ਮਸਤਕਿ ਤੈਸੀ ਜੀਅੜੇ ਪਾਸਿ ॥
jaisee kalam vurhee hai mastak taisee jee-arhay paas.
Human being is born with pre-ordained destiny.
Binadamu anazaliwa na hatima iliyoagiziwa mapema.

ਕਹੁ ਨਾਨਕ ਪ੍ਰਾਣੀ ਪਹਿਲੈ ਪਹਰੈ ਹੁਕਮਿ ਪਇਆ ਗਰਭਾਸਿ ॥੧॥
kaho naanak paraanee pahilai pahrai hukam pa-i-aa garbhaas. ||1||
O’ Nanak, as per God’s command, in the first watch of night (first stage of life),a human being is cast into the womb.
Ee Nanak, kulingana na amri ya Mungu, katika mtazamo wa kwanza wa usiku (hatua ya kwanza ya maisha) binadamu anatupwa kwenye chupa cha uzazi.

error: Content is protected !!