Swahili Page 163

ਆਪੇ ਹੀ ਪ੍ਰਭੁ ਦੇਹਿ ਮਤਿ ਹਰਿ ਨਾਮੁ ਧਿਆਈਐ ॥
aapay hee parabh deh mat har naam Dhi-aa-ee-ai.
O’ God, upon whom You bestow wisdom meditates on Naam.
Ee Mungu, kwa yule ambaye unatawaza hekima yako anatafakari kuhusu Naam.

ਵਡਭਾਗੀ ਸਤਿਗੁਰੁ ਮਿਲੈ ਮੁਖਿ ਅੰਮ੍ਰਿਤੁ ਪਾਈਐ ॥
vadbhaagee satgur milai mukh amrit paa-ee-ai.
By good fortune, one who meets the true Guru, tastes the nectar of Naam.
Kwa bahati nzuri, yule anayekutana na Guru wa kweli, anaonja nekta ya Naam.

ਹਉਮੈ ਦੁਬਿਧਾ ਬਿਨਸਿ ਜਾਇ ਸਹਜੇ ਸੁਖਿ ਸਮਾਈਐ ॥
ha-umai dubiDhaa binas jaa-ay sehjay sukh samaa-ee-ai.
His egotism and duality are eradicated and he intuitively remains in bliss.
Ubinafsi na uwili wake unaondolewa na kwa hisia na silika anabaki katika raha tele.

ਸਭੁ ਆਪੇ ਆਪਿ ਵਰਤਦਾ ਆਪੇ ਨਾਇ ਲਾਈਐ ॥੨॥
sabh aapay aap varatdaa aapay naa-ay laa-ee-ai. ||2||
He Himself is All-pervading; He Himself links us to Naam. ||2||
Yeye mwenyewe anaenea kote; Yeye mwenyewe anatuunganisha na Naam.

ਮਨਮੁਖਿ ਗਰਬਿ ਨ ਪਾਇਓ ਅਗਿਆਨ ਇਆਣੇ ॥
manmukh garab na paa-i-o agi-aan i-aanay.
The self-willed persons in their arrogant pride do not realize God; they are ignorant and foolish.
Watu wenye hiari binafsi katika fahari yao yenye kiburi hawamgundui Mungu; ni wajinga na wapumbavu.

ਸਤਿਗੁਰ ਸੇਵਾ ਨਾ ਕਰਹਿ ਫਿਰਿ ਫਿਰਿ ਪਛੁਤਾਣੇ ॥
satgur sayvaa naa karahi fir fir pachhutaanay.
They do not follow the teachings of the True Guru, and in the end, they regret and repent over and over again.
Hawafuati mafundisho ya Guru wa Kweli, na mwishowe, wanajuta na kutubu tena na tena.

ਗਰਭ ਜੋਨੀ ਵਾਸੁ ਪਾਇਦੇ ਗਰਭੇ ਗਲਿ ਜਾਣੇ ॥
garabh jonee vaas paa-iday garbhay gal jaanay.
They are stuck in the cycles of births and deaths and ultimately they spiritually rot in these rounds of birth and death.
Wamekwama katika mizunguko ya kuzaliwa na kufa na mwishowe wanaoza kiroho katika mizunguko hii ya kuzaliwa na kufa.

ਮੇਰੇ ਕਰਤੇ ਏਵੈ ਭਾਵਦਾ ਮਨਮੁਖ ਭਰਮਾਣੇ ॥੩॥
mayray kartay ayvai bhaavdaa manmukh bharmaanay. ||3||
It so pleases my Creator that these self-willed may remain lost in doubt. ||3||
Ni mapenzi ya Muumba wangu kwamba hao wenye hiari binafsi wabaki wamepotea katika shaka.

ਮੇਰੈ ਹਰਿ ਪ੍ਰਭਿ ਲੇਖੁ ਲਿਖਾਇਆ ਧੁਰਿ ਮਸਤਕਿ ਪੂਰਾ ॥
mayrai har parabh laykh likhaa-i-aa Dhur mastak pooraa.
One who was preordained with perfect destiny by my perfect God,
Yue ambaye aliagiziwa mapema kwa hatima kamili kwa Mungu wangu kamili,

ਹਰਿ ਹਰਿ ਨਾਮੁ ਧਿਆਇਆ ਭੇਟਿਆ ਗੁਰੁ ਸੂਰਾ ॥
har har naam Dhi-aa-i-aa bhayti-aa gur sooraa.
He meets with the brave guru and always lovingly meditates on God’s Name.
Anakutana na Guru jasiri na daima anatafakari kwa upendo kuhusu Jina la Mungu.

ਮੇਰਾ ਪਿਤਾ ਮਾਤਾ ਹਰਿ ਨਾਮੁ ਹੈ ਹਰਿ ਬੰਧਪੁ ਬੀਰਾ ॥
mayraa pitaa maataa har naam hai har banDhap beeraa.
Now, God’s Name is my father, mother, brother and kin.
Sasa, Jina la Mungu ni baba, mama, ndugu na jamaa yangu.

ਹਰਿ ਹਰਿ ਬਖਸਿ ਮਿਲਾਇ ਪ੍ਰਭ ਜਨੁ ਨਾਨਕੁ ਕੀਰਾ ॥੪॥੩॥੧੭॥੩੭॥
har har bakhas milaa-ay parabh jan naanak keeraa. ||4||3||17||37||
O’ God,please bestow mercy and unite your humble devotee Nanak with Yourself. ||4||3||17||37||
Ee Mungu, tafadhali tawaza huruma na uunganishe mtawa wako mnyenyekevu Nanak nawe mwenyewe.

ਗਉੜੀ ਬੈਰਾਗਣਿ ਮਹਲਾ ੩ ॥
ga-orhee bairaagan mehlaa 3.
Raag Gauri Bairagan, Third Guru:
Raag Gauri Bairagan, Guru wa Tatu:

ਸਤਿਗੁਰ ਤੇ ਗਿਆਨੁ ਪਾਇਆ ਹਰਿ ਤਤੁ ਬੀਚਾਰਾ ॥
satgur tay gi-aan paa-i-aa har tat beechaaraa.
Receiving divine knowledge from the true Guru, I contemplated over God’s virtues.
Kwa kupokea maarifa takatifu kutoka kwa Guru wa kweli, nilitafakari kuhusu fadhila za Mungu.

ਮਤਿ ਮਲੀਣ ਪਰਗਟੁ ਭਈ ਜਪਿ ਨਾਮੁ ਮੁਰਾਰਾ ॥
mat maleen pargat bha-ee jap naam muraaraa.
By meditating on God’s Name, the intellect polluted with vices was enlightened.
Kwa kutafakari kuhusu Jina la Mungu, akili iliyochafuliwa na dhambi inaangazwa.

ਸਿਵਿ ਸਕਤਿ ਮਿਟਾਈਆ ਚੂਕਾ ਅੰਧਿਆਰਾ ॥
siv sakat mitaa-ee-aa chookaa anDhi-aaraa.
God erased the influence of Maya and the darkness of ignorance.
Mungu amefuta ushawishi wa Maya na giza ya ujinga.

ਧੁਰਿ ਮਸਤਕਿ ਜਿਨ ਕਉ ਲਿਖਿਆ ਤਿਨ ਹਰਿ ਨਾਮੁ ਪਿਆਰਾ ॥੧॥
Dhur mastak jin ka-o likhi-aa tin har naam pi-aaraa. ||1||
God’s Name is pleasing only to those, who have been so preordained . ||1||
Jina la Mungu linapendeza tu kwa wale, ambao wameagiziwa hivyo

ਹਰਿ ਕਿਤੁ ਬਿਧਿ ਪਾਈਐ ਸੰਤ ਜਨਹੁ ਜਿਸੁ ਦੇਖਿ ਹਉ ਜੀਵਾ ॥
har kit biDh paa-ee-ai sant janhu jis daykh ha-o jeevaa.
O’ Saints, please tell me how can I realize God, beholding whom I spiritually survive.
Ee Watakatifu, tafadhali mniambie jinsi nitamgundua Mungu, ambaye kwa kumtazama naishi kiroho.

ਹਰਿ ਬਿਨੁ ਚਸਾ ਨ ਜੀਵਤੀ ਗੁਰ ਮੇਲਿਹੁ ਹਰਿ ਰਸੁ ਪੀਵਾ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
har bin chasaa na jeevtee gur maylihu har ras peevaa. ||1|| rahaa-o.
Without God, I cannot spiritually survive even for an instant. Please unite me with the Guru, so that I may partake the elixir of God’s Name. ||1||Pause||
Bila Mungu, siwezi kuishi kiroho hata kwa muda mfupi. Tafadhali niunganishe na Guru, ndiposa niweze kushiriki dawa ya Jina la Mungu. ||1||Sitisha||

ਹਉ ਹਰਿ ਗੁਣ ਗਾਵਾ ਨਿਤ ਹਰਿ ਸੁਣੀ ਹਰਿ ਹਰਿ ਗਤਿ ਕੀਨੀ ॥
ha-o har gun gaavaa nit har sunee har har gat keenee.
I listen and sing the Praises of God daily; God has emancipated me.
Nasikiliza na kuimba Sifa za Mungu kila siku; Mungu amenikomboa.

ਹਰਿ ਰਸੁ ਗੁਰ ਤੇ ਪਾਇਆ ਮੇਰਾ ਮਨੁ ਤਨੁ ਲੀਨੀ ॥
har ras gur tay paa-i-aa mayraa man tan leenee.
I have received the essence of Naam from the Guru; now my mind and body are merged therein.
Nimepokea kiini cha Naam kutoka kwa Guru; sasa akili na mwili wangu umeunganishwa humo ndani.

ਧਨੁ ਧਨੁ ਗੁਰੁ ਸਤ ਪੁਰਖੁ ਹੈ ਜਿਨਿ ਭਗਤਿ ਹਰਿ ਦੀਨੀ ॥
Dhan Dhan gur sat purakh hai jin bhagat har deenee.
Blessed is the Guru who has bestowed the gift of devotional worship of God.
Amebarikiwa Guru ambaye ametawaza tuzo ya ibada ya kujitolea kwa Mungu.

ਜਿਸੁ ਗੁਰ ਤੇ ਹਰਿ ਪਾਇਆ ਸੋ ਗੁਰੁ ਹਮ ਕੀਨੀ ॥੨॥
jis gur tay har paa-i-aa so gur ham keenee. ||2||
I have dedicated myself to such a Guru, through whom I have realized God.
Nimejiweka wakfu kwa Guru kama huyo, ambaye kupitia kwake nimemgundua Mungu.||2||

ਗੁਣਦਾਤਾ ਹਰਿ ਰਾਇ ਹੈ ਹਮ ਅਵਗਣਿਆਰੇ ॥
gundaataa har raa-ay hai ham avgani-aaray.
The Sovereign God is the bestower of virtues, but we are all full of vices.
Mungu Mwenyezi ndiye mtawaza wa fadhila, lakini sisi tumejawa na dhambi.

ਪਾਪੀ ਪਾਥਰ ਡੂਬਦੇ ਗੁਰਮਤਿ ਹਰਿ ਤਾਰੇ ॥
paapee paathar doobday gurmat har taaray.
We sinners sink like stones in this world ocean of vices; through the Guru’s teachings, God ferries us across.
Sisi watenda dhambi tunazama kama mawe katika bahari dunia hii ya dhambi; kupitia mafundisho ya Guru, Mungu anatuvukisha.

ਤੂੰ ਗੁਣਦਾਤਾ ਨਿਰਮਲਾ ਹਮ ਅਵਗਣਿਆਰੇ ॥
tooN gundaataa nirmalaa ham avgani-aaray.
O’ God, You are the immaculate bestower of virtues, but we are full of vices.
Ee Mungu, Wewe ndiwe mtawaza safi wa fadhila, lakini sisi tumajawa na dhambi.

ਹਰਿ ਸਰਣਾਗਤਿ ਰਾਖਿ ਲੇਹੁ ਮੂੜ ਮੁਗਧ ਨਿਸਤਾਰੇ ॥੩॥
har sarnaagat raakh layho moorh mugaDh nistaaray. ||3||
O’ God, we have entered Your refuge; please save us from the vices, just as You have emancipated even the most foolish persons. ||3||
Ee Mungu, tumeingia kwenye kimbilio chako; tafadhali tukomboe kutoka maovu, kama vile umekomboa hata watu wapumbavu kabisa.

ਸਹਜੁ ਅਨੰਦੁ ਸਦਾ ਗੁਰਮਤੀ ਹਰਿ ਹਰਿ ਮਨਿ ਧਿਆਇਆ ॥
sahj anand sadaa gurmatee har har man Dhi-aa-i-aa.
Those who have meditated on God in their mind through the Guru’s teachings, have received eternal poise and bliss.
Wale ambao wametafakari kuhusu Mungu akilini mwao kupitia mafundisho ya Guru, wamepokea utulivu wa milele na raha tele.

ਸਜਣੁ ਹਰਿ ਪ੍ਰਭੁ ਪਾਇਆ ਘਰਿ ਸੋਹਿਲਾ ਗਾਇਆ ॥
sajan har parabh paa-i-aa ghar sohilaa gaa-i-aa.
They have realized God, a true friend, and are enjoying such a pleasure, as if a song of joy is being sung in their hearts.
Wamemgundua Mungu, rafiki wa kweli, na wanafurahia raha kama hiyo, kana kwamba wimbo wa furaha unaimbwa mioyoni mwao.

ਹਰਿ ਦਇਆ ਧਾਰਿ ਪ੍ਰਭ ਬੇਨਤੀ ਹਰਿ ਹਰਿ ਚੇਤਾਇਆ ॥
har da-i-aa Dhaar parabh bayntee har har chaytaa-i-aa.
O’ God, this is my prayer before You; please show mercy and make me always remember You with loving devotion.
Ee Mungu, hili ni ombi langu mbele yako; tafadhali nionee huruma na unifanye nikukumbuke daima kwa kujitolea kwa upendo.

ਜਨ ਨਾਨਕੁ ਮੰਗੈ ਧੂੜਿ ਤਿਨ ਜਿਨ ਸਤਿਗੁਰੁ ਪਾਇਆ ॥੪॥੪॥੧੮॥੩੮॥
jan naanak mangai Dhoorh tin jin satgur paa-i-aa. ||4||4||18||38||
Nanak begs for the most humble service of those who have met the True Guru. ||4||4||18||38||
Nanak anaomba huduma nyenyekevu mno ya wale ambao wamekutana na Guru wa Kweli.

ਗਉੜੀ ਗੁਆਰੇਰੀ ਮਹਲਾ ੪ ਚਉਥਾ ਚਉਪਦੇ
ga-orhee gu-aarayree mehlaa 4 cha-uthaa cha-upday
Raag Gauree Gwaarayree, Fourth Gurul, Chau-Padas:
Raah Gauree Gwaarayree, Guru wa Nne, Chau-Padas:

ੴ ਸਤਿਗੁਰ ਪ੍ਰਸਾਦਿ ॥
ik-oNkaar satgur parsaad.
One eternal God, realized by the grace of the true Guru:
Mungu Mmoja wa milele, anayegunduliwa kwa neema ya Guru wa kweli:

ਪੰਡਿਤੁ ਸਾਸਤ ਸਿਮ੍ਰਿਤਿ ਪੜਿਆ ॥
pandit saasat simrit parhi-aa.
The Pandit recites the Shastras and the Simritees (the Hindu holy scriptures).
Walimu wenye busara wa Kihindu wanakariri Shastras na Smiritis (maandishi takatifu ya Kihindu)

ਜੋਗੀ ਗੋਰਖੁ ਗੋਰਖੁ ਕਰਿਆ ॥
jogee gorakh gorakh kari-aa.
the Yogi meditates on the name of his spiritual leader, Gorakh.
Yogi anatafakari kuhusu jina la kiongozi wake wa kiroho, Gorakh.

ਮੈ ਮੂਰਖ ਹਰਿ ਹਰਿ ਜਪੁ ਪੜਿਆ ॥੧॥
mai moorakh har har jap parhi-aa. ||1||
Me the ignorant, have learned from my Guru only to meditate on Naam.||1||
Mimi yule mjinga, nimejifunza kutoka Guru wangu kutafakari tu kwa Naam.

ਨਾ ਜਾਨਾ ਕਿਆ ਗਤਿ ਰਾਮ ਹਮਾਰੀ ॥
naa jaanaa ki-aa gat raam hamaaree.
O’ God, I do not know what will be my ultimate fate .
Ee Mungu, sijui ni ipi itakuwa hatima yangu mwishowe.

ਹਰਿ ਭਜੁ ਮਨ ਮੇਰੇ ਤਰੁ ਭਉਜਲੁ ਤੂ ਤਾਰੀ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
har bhaj man mayray tar bha-ojal too taaree. ||1|| rahaa-o.
O my mind, meditate on God’s Name with loving devotion and swim acrossthe terrifying world-ocean of vices. ||1||Pause||
Ee akili yangu, tafakari kuhusu Jina la Mungu kwa kujitolea kwa upendo na uogelee ukivuka bahari-dunia ya dhambi inayoogofya. ||1||Sitisha||

error: Content is protected !!