ਗੁਰੁ ਪੂਰਾ ਨਾਨਕਿ ਸੇਵਿਆ ਮੇਰੀ ਜਿੰਦੁੜੀਏ ਜਿਨਿ ਪੈਰੀ ਆਣਿ ਸਭਿ ਘਤੇ ਰਾਮ ॥੩॥
gur pooraa naanak sayvi-aa mayree jindurhee-ay jin pairee aan sabh ghatay raam. ||3||
O’ my soul, Nanak has sought the shelter of that perfect Guru, who has made all the evil minded people to surrender before him . ll3ll
Ee roho yangu, Nanak ametafuta kificho cha Guru huyo kamili, ambaye amefanya watu wote wenye nia mbaya kujisalimisha mbele yake.
ਸੋ ਐਸਾ ਹਰਿ ਨਿਤ ਸੇਵੀਐ ਮੇਰੀ ਜਿੰਦੁੜੀਏ ਜੋ ਸਭ ਦੂ ਸਾਹਿਬੁ ਵਡਾ ਰਾਮ ॥
so aisaa har nit sayvee-ai mayree jindurhee-ay jo sabh doo saahib vadaa raam.
We should daily worship and meditate on such a God, O’ my soul, who is the supreme Master of all.
Kila siku tunapaswa kuabudu na kutafakari kuhusu Mungu kama huyo, Ee roho yangu, ambaye ni Bwana mkuu wa vyote.
ਜਿਨ੍ਹ੍ਹੀ ਇਕ ਮਨਿ ਇਕੁ ਅਰਾਧਿਆ ਮੇਰੀ ਜਿੰਦੁੜੀਏ ਤਿਨਾ ਨਾਹੀ ਕਿਸੈ ਦੀ ਕਿਛੁ ਚਡਾ ਰਾਮ ॥
jinHee ik man ik araaDhi-aa mayree jindurhee-ay tinaa naahee kisai dee kichh chadaa raam.
Those who single-mindedly worship Him in adoration, O my soul, are not subservient to anyone.
Wale ambao kwa nia moja wanamuabudu kwa kumtukuza, Ee roho yangu, hawatiishwi kwa mtu yeyote.
ਗੁਰ ਸੇਵਿਐ ਹਰਿ ਮਹਲੁ ਪਾਇਆ ਮੇਰੀ ਜਿੰਦੁੜੀਏ ਝਖ ਮਾਰਨੁ ਸਭਿ ਨਿੰਦਕ ਘੰਡਾ ਰਾਮ ॥
gur sayvi-ai har mahal paa-i-aa mayree jindurhee-ay jhakh maaran sabh nindak ghandaa raam.
O’ my soul, following the teachings of the Guru, one realizes the presence of God within; then all the slanderers and trouble-makers cannot cause him any harm.
Ee roho yangu, kwa kufuata mafundisho ya Guru, mtu anagundua uwepo wa Mungu ndani mwake, kisha wachongezi na waleta matata hawawezi kumletea madhara yoyote.
ਜਨ ਨਾਨਕ ਨਾਮੁ ਧਿਆਇਆ ਮੇਰੀ ਜਿੰਦੁੜੀਏ ਧੁਰਿ ਮਸਤਕਿ ਹਰਿ ਲਿਖਿ ਛਡਾ ਰਾਮ ॥੪॥੫॥
jan naanak naam Dhi-aa-i-aa mayree jindurhee-ay Dhur mastak har likh chhadaa raam. ||4||5||
O’ Nanak, only those meditate on God’s Naam, in whose destiny God had so written from the very beginning. ||4||5||
Ee Nanak, wale tu ambao wanatafakari kuhusu Naam ya Mungu, ambao Mungu ameandika hivyo katika hatima yao kutoka mwanzoni kabisa.
ਬਿਹਾਗੜਾ ਮਹਲਾ ੪ ॥
bihaagarhaa mehlaa 4.
Raag Bihagra, Fourth Guru:
Raag Bihagra, Guru wa Nne:
ਸਭਿ ਜੀਅ ਤੇਰੇ ਤੂੰ ਵਰਤਦਾ ਮੇਰੇ ਹਰਿ ਪ੍ਰਭ ਤੂੰ ਜਾਣਹਿ ਜੋ ਜੀਇ ਕਮਾਈਐ ਰਾਮ ॥
sabh jee-a tayray tooN varatdaa mayray har parabh tooN jaaneh jo jee-ay kamaa-ee-ai raam.
All creatures are Yours, You pervade in all, my dear God, You know everything that passes through all minds at every moment.
Viumbe vyote ni vyako, Wewe unaenea katika vyote, Mungu wangu mpendwa, Wewe unajua kila kitu kinachopitia katika akili zote kila wakati.
ਹਰਿ ਅੰਤਰਿ ਬਾਹਰਿ ਨਾਲਿ ਹੈ ਮੇਰੀ ਜਿੰਦੁੜੀਏ ਸਭ ਵੇਖੈ ਮਨਿ ਮੁਕਰਾਈਐ ਰਾਮ ॥
har antar baahar naal hai mayree jindurhee-ay sabh vaykhai man mukraa-ee-ai raam.
Both inside and out, God pervades in us, O’ my dear soul; He sees everything that happens, but we still deny before Him.
Ndani mwetu na nje pia, Mungu anaenea ndani mwetu, Ee roho yangu mpendwa; Yeye anaona kila kitu kinachotendeka, lakini bado tunakataa mbele Yake.
ਮਨਮੁਖਾ ਨੋ ਹਰਿ ਦੂਰਿ ਹੈ ਮੇਰੀ ਜਿੰਦੁੜੀਏ ਸਭ ਬਿਰਥੀ ਘਾਲ ਗਵਾਈਐ ਰਾਮ ॥
manmukhaa no har door hai mayree jindurhee-ay sabh birthee ghaal gavaa-ee-ai raam.
O’ my dear soul, God seems far off to the self-conceited persons, therefore all their efforts go to waste.
Ee roho yangu mpendwa, Mungu anaonekana mbali mno kutoka kwa watu wenye majivuno binafsi, hivyo basi jitihada zao zinaenda bure.
ਜਨ ਨਾਨਕ ਗੁਰਮੁਖਿ ਧਿਆਇਆ ਮੇਰੀ ਜਿੰਦੁੜੀਏ ਹਰਿ ਹਾਜਰੁ ਨਦਰੀ ਆਈਐ ਰਾਮ ॥੧॥
jan naanak gurmukh Dhi-aa-i-aa mayree jindurhee-ay har haajar nadree aa-ee-ai raam. ||1||
O’ Nanak, those who meditate on God under Guru’s teachings, to them God is ever present all around. ||1||
Ee Nanak, wale wanaotafakari kuhusu Mungu chini ya mafundisho ya Guru, kwao Mungu daima yupo kila mahali.
ਸੇ ਭਗਤ ਸੇ ਸੇਵਕ ਮੇਰੀ ਜਿੰਦੁੜੀਏ ਜੋ ਪ੍ਰਭ ਮੇਰੇ ਮਨਿ ਭਾਣੇ ਰਾਮ ॥
say bhagat say sayvak mayree jindurhee-ay jo parabh mayray man bhaanay raam.
They are the true devotees and the true servants of God, O’ my dear soul, who are pleasing to God.
Wao ni watawa wa kweli na watumishi wa kweli wa Mungu, Ee roho yangu mpedwa, ambao wanapendeza Mungu.
ਸੇ ਹਰਿ ਦਰਗਹ ਪੈਨਾਇਆ ਮੇਰੀ ਜਿੰਦੁੜੀਏ ਅਹਿਨਿਸਿ ਸਾਚਿ ਸਮਾਣੇ ਰਾਮ ॥
say har dargeh painaa-i-aa mayree jindurhee-ay ahinis saach samaanay raam.
They are honored in God’s presence, O’ my soul, they always remain absorbed in the True One.
Wanaenziwa katika uwepo wa Mungu, Ee roho yangu, daima wanabaki wamevama katika yule Mmoja wa Kweli.
ਤਿਨ ਕੈ ਸੰਗਿ ਮਲੁ ਉਤਰੈ ਮੇਰੀ ਜਿੰਦੁੜੀਏ ਰੰਗਿ ਰਾਤੇ ਨਦਰਿ ਨੀਸਾਣੇ ਰਾਮ ॥
tin kai sang mal utrai mayree jindurhee-ay rang raatay nadar neesaanay raam.
In their company, mind’s dirt of vices is washed away because they are always imbued with the love of God and have been marked with the stamp of His grace.
Katika uandamano wao, uchafu wa maovu wa akili unasafishwa kwa sababu daima wamepenyezwa na upendo wa Mungu na wamewekwa alama na muhuri wa neema yake.
ਨਾਨਕ ਕੀ ਪ੍ਰਭ ਬੇਨਤੀ ਮੇਰੀ ਜਿੰਦੁੜੀਏ ਮਿਲਿ ਸਾਧੂ ਸੰਗਿ ਅਘਾਣੇ ਰਾਮ ॥੨॥
naanak kee parabh bayntee mayree jindurhee-ay mil saaDhoo sang aghaanay raam. ||2||
Nanak offers this prayer before God, that by meeting the saint Guru, I remain appeased from worldly desires. ||2||
Nanak anawasilisha ombi hili mbele ya Mungu, kwamba kwa kukutana na Guru mtakatifu, nibaki nimetoshelezwa kutoka hamu za kidunia.
ਹੇ ਰਸਨਾ ਜਪਿ ਗੋਬਿੰਦੋ ਮੇਰੀ ਜਿੰਦੁੜੀਏ ਜਪਿ ਹਰਿ ਹਰਿ ਤ੍ਰਿਸਨਾ ਜਾਏ ਰਾਮ ॥
hay rasnaa jap gobindo mayree jindurhee-ay jap har har tarisnaa jaa-ay raam.
O’ my tongue, worship the Master of the universe, God, because by worshipping Him our desires of worldly riches go away.
Ee ulimi wangu, abudu Bwana wa ulimwengu, Mungu, kwa sababu kwa kumuabudu Yeye hamu zetu za utajiri wa kidunia zinapotea.
ਜਿਸੁ ਦਇਆ ਕਰੇ ਮੇਰਾ ਪਾਰਬ੍ਰਹਮੁ ਮੇਰੀ ਜਿੰਦੁੜੀਏ ਤਿਸੁ ਮਨਿ ਨਾਮੁ ਵਸਾਏ ਰਾਮ ॥
jis da-i-aa karay mayraa paarbarahm mayree jindurhee-ay tis man naam vasaa-ay raam.
O’ my soul; God enshrines His Name in that person’s mind on whom He shows His mercy.
Ee roho yangu; Mungu anathamini Jina lake katika akili ya mtu huyo kwa yule ambaye Yeye anaonesha huruma yake.
ਜਿਸੁ ਭੇਟੇ ਪੂਰਾ ਸਤਿਗੁਰੂ ਮੇਰੀ ਜਿੰਦੁੜੀਏ ਸੋ ਹਰਿ ਧਨੁ ਨਿਧਿ ਪਾਏ ਰਾਮ ॥
jis bhaytay pooraa satguroo mayree jindurhee-ay so har Dhan niDh paa-ay raam.
One who meets the Perfect True Guru, O’ my soul, obtains the treasure of the God’s Name.
Yule anayekutana na Guru Kamili wa Kweli, Ee roho yangu, anapata hazina ya Jina la Mungu.
ਵਡਭਾਗੀ ਸੰਗਤਿ ਮਿਲੈ ਮੇਰੀ ਜਿੰਦੁੜੀਏ ਨਾਨਕ ਹਰਿ ਗੁਣ ਗਾਏ ਰਾਮ ॥੩॥
vadbhagee sangat milai mayree jindurhee-ay naanak har gun gaa-ay raam. ||3||
O’ Nanak, by great good fortune, one joins the company of the Holy and sings the glorious praises of God. ||3||
Ee Nanak, kwa bahati nzuri kuu, mtu anajiunga na uandamano wa Watakatifu na kuimba sifa tukufu za Mungu.
ਥਾਨ ਥਨੰਤਰਿ ਰਵਿ ਰਹਿਆ ਮੇਰੀ ਜਿੰਦੁੜੀਏ ਪਾਰਬ੍ਰਹਮੁ ਪ੍ਰਭੁ ਦਾਤਾ ਰਾਮ ॥
thaan thanantar rav rahi-aa mayree jindurhee-ay paarbarahm parabh daataa raam.
O’ my soul, the Supreme God, the great giver, is pervading all places and interspaces.
Ee roho yangu, Mungu Mkuu, mpaji mkuu, anaenea kila mahali na katikati mwa pahali pote.
ਤਾ ਕਾ ਅੰਤੁ ਨ ਪਾਈਐ ਮੇਰੀ ਜਿੰਦੁੜੀਏ ਪੂਰਨ ਪੁਰਖੁ ਬਿਧਾਤਾ ਰਾਮ ॥
taa kaa ant na paa-ee-ai mayree jindurhee-ay pooran purakh biDhaataa raam.
O’ my soul, His limits cannot be found; He is the Perfect Architect of Destiny.
Ee roho yangu, vikomo vyake haviwezi kupatwa; Yeye ndiye Mchora ramani Kamili wa Hatima.
ਸਰਬ ਜੀਆ ਪ੍ਰਤਿਪਾਲਦਾ ਮੇਰੀ ਜਿੰਦੁੜੀਏ ਜਿਉ ਬਾਲਕ ਪਿਤ ਮਾਤਾ ਰਾਮ ॥
sarab jee-aa partipaaldaa mayree jindurhee-ay ji-o baalak pit maataa raam.
He cherishes all beings, O’ my soul, as the mother and father cherish their child.
Yeye anathamini viumbe vyote, Ee roho yangu, kama mama na baba wanavyothamini mwana wao.
ਸਹਸ ਸਿਆਣਪ ਨਹ ਮਿਲੈ ਮੇਰੀ ਜਿੰਦੁੜੀਏ ਜਨ ਨਾਨਕ ਗੁਰਮੁਖਿ ਜਾਤਾ ਰਾਮ ॥੪॥੬॥ ਛਕਾ ੧ ॥
sahas si-aanap nah milai mayree jindurhee-ay jan naanak gurmukh jaataa raam. chhakaa 1.||4||6||
O’ my dear soul, God cannot be realized through any clever or wise endeavors, it is through the teachings of the Guru that one gets to realize Him, says Nanak. ||4||6||
Ee roho yangu mpendwa, Mungu hawezi kugunduliwa kupitia jitihada za ujanja au zenye busara, ni kupitia mafundisho ya Guru ambapo mtu anapata kumgundua Yeye, asema Nanak. Chhakaa 1.
ਬਿਹਾਗੜਾ ਮਹਲਾ ੫ ਛੰਤ ਘਰੁ ੧
bihaagarhaa mehlaa 5 chhant ghar 1
Raag Bihagra, Fifth Guru, Chhant, First Beat:
Raag Bihagra, Guru wa Tano, Chhant, Mpigo wa Kwanza:
ੴ ਸਤਿਗੁਰ ਪ੍ਰਸਾਦਿ ॥
ik-oNkaar satgur parsaad.
One eternal God, realized by the grace of the true Guru:
Mungu Mmoja wa milele, anayegunduliwa kwa neema ya Guru wa kweli:
ਹਰਿ ਕਾ ਏਕੁ ਅਚੰਭਉ ਦੇਖਿਆ ਮੇਰੇ ਲਾਲ ਜੀਉ ਜੋ ਕਰੇ ਸੁ ਧਰਮ ਨਿਆਏ ਰਾਮ ॥
har kaa ayk achambha-o daykhi-aa mayray laal jee-o jo karay so Dharam ni-aa-ay raam.
O’ my dear, I have seen a great wonder of God that whatever He does is righteous and just.
Ee mpendwa wangu, nimeona ajabu kuu ya Mungu kwamba chochote anachofanya Yeye ni adilifu na yenye haki.
ਹਰਿ ਰੰਗੁ ਅਖਾੜਾ ਪਾਇਓਨੁ ਮੇਰੇ ਲਾਲ ਜੀਉ ਆਵਣੁ ਜਾਣੁ ਸਬਾਏ ਰਾਮ ॥
har rang akhaarhaa paa-i-on mayray laal jee-o aavan jaan sabaa-ay raam.
O’ my dear, God has made this world as His arena in which he has assigned everyone’s time of birth and death.
Ee mpendwa wangu, Mungu ametengeneza dunia hii kama medani yake ambayo ndani yake ameteua wakati wa kuzaliwa na kufa wa kila mtu.