Swahili Page 757

ਹਉ ਤਿਨ ਕੈ ਬਲਿਹਾਰਣੈ ਮਨਿ ਹਰਿ ਗੁਣ ਸਦਾ ਰਵੰਨਿ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
ha-o tin kai balihaarnai man har gun sadaa ravann. ||1|| rahaa-o.
I am dedicated to those, who always contemplate on the virtues of God in their mind. ||1||Pause||
Nimewekwa wakfu kwa wale, ambao daima wanatafakari kuhusu fadhila za Mungu katika akili yao. ||1||Sitisha||

ਗੁਰੁ ਸਰਵਰੁ ਮਾਨ ਸਰੋਵਰੁ ਹੈ ਵਡਭਾਗੀ ਪੁਰਖ ਲਹੰਨ੍ਹ੍ਹਿ ॥
gur sarvar maan sarovar hai vadbhaagee purakh lahaNniH.
O’ my friends, the Guru is like a lake just like the beautiful lake Mansarover, and only very fortunate people find him.
Ee marafiki wangu, Guru ni kama ziwa kama vile ziwa zuri la Mansarover, na ni watu wenye bahati nzuri peke yao wanaompata.

ਸੇਵਕ ਗੁਰਮੁਖਿ ਖੋਜਿਆ ਸੇ ਹੰਸੁਲੇ ਨਾਮੁ ਲਹੰਨਿ ॥੨॥
sayvak gurmukh khoji-aa say hansulay naam lahann. ||2||
These swan like pious devotees who have found out the lake like Guru, peck on the pearls like Naam. ||2||
Watawa hao watakatifu kama bata-maji ambao wamepata Guru kama ziwa, wanachakua Naam kama lulu.

ਨਾਮੁ ਧਿਆਇਨ੍ਹ੍ਹਿ ਰੰਗ ਸਿਉ ਗੁਰਮੁਖਿ ਨਾਮਿ ਲਗੰਨ੍ਹ੍ਹਿ ॥
naam Dhi-aa-eeniH rang si-o gurmukh naam lagaNniH.
The Guru’s followers lovingly remember God’s Name and remain attuned to it.
Wafuasi wa Guru wanakumbuka Jina la Mungu kwa upendo na kubaki wamelimakinikia.

ਧੁਰਿ ਪੂਰਬਿ ਹੋਵੈ ਲਿਖਿਆ ਗੁਰ ਭਾਣਾ ਮੰਨਿ ਲਏਨ੍ਹ੍ਹਿ ॥੩॥
Dhur poorab hovai likhi-aa gur bhaanaa man la-ayniH. ||3||
But only those who are predestined, accept the Guru’s will. ||3||
Lakini ni wale tu ambao wameagiziwa mapema, wanaokubali mapenzi ya Guru.

ਵਡਭਾਗੀ ਘਰੁ ਖੋਜਿਆ ਪਾਇਆ ਨਾਮੁ ਨਿਧਾਨੁ ॥
vadbhaagee ghar khoji-aa paa-i-aa naam niDhaan.
Those fortunate people who searched their own heart, found the treasure of Naam within it.
Watu hao wenye bahati nzuri ambao walitafuta moyoni mwao, walipata hazina ya Naam ndani mwao.

ਗੁਰਿ ਪੂਰੈ ਵੇਖਾਲਿਆ ਪ੍ਰਭੁ ਆਤਮ ਰਾਮੁ ਪਛਾਨੁ ॥੪॥
gur poorai vaykhaali-aa parabh aatam raam pachhaan. ||4||
The perfect Guru revealed to them this treasure of Naam and they realized the all-pervading God. ||4||
Guru kamili alidhihirisha kwao hazina hii ya Naam na waligundua Mungu anayeenea kote.

ਸਭਨਾ ਕਾ ਪ੍ਰਭੁ ਏਕੁ ਹੈ ਦੂਜਾ ਅਵਰੁ ਨ ਕੋਇ ॥
sabhnaa kaa parabh ayk hai doojaa avar na ko-ay.
God alone is the Master of all and there is no other like him.
Mungu peke yake ndiye Bwana wa vyote na hakuna mwengine kama yeye.

ਗੁਰ ਪਰਸਾਦੀ ਮਨਿ ਵਸੈ ਤਿਤੁ ਘਟਿ ਪਰਗਟੁ ਹੋਇ ॥੫॥
gur parsaadee man vasai tit ghat pargat ho-ay. ||5||
If by the Guru’s grace, one experiences God’s presence in his mind, then God becomes manifest in that person’s heart ||5||
Iwapo kwa neema ya Guru, mtu ahisi uwepo wa Mungu akilini mwake, basi Mungu anadhihirika moyoni mwa mtu huyo.

ਸਭੁ ਅੰਤਰਜਾਮੀ ਬ੍ਰਹਮੁ ਹੈ ਬ੍ਰਹਮੁ ਵਸੈ ਸਭ ਥਾਇ ॥
sabh antarjaamee barahm hai barahm vasai sabh thaa-ay.
This entire world is the embodiment of the all-pervading God, who is pervading everywhere.
Dunia nzima ni udhihirisho wa kimwili wa Mungu anayeenea kote, ambaye anaenea kila mahali.

ਮੰਦਾ ਕਿਸ ਨੋ ਆਖੀਐ ਸਬਦਿ ਵੇਖਹੁ ਲਿਵ ਲਾਇ ॥੬॥
mandaa kis no aakhee-ai sabad vaykhhu liv laa-ay. ||6||
O’ my friends, attune your mind to the Guru’s word and see it for yourself that God resides in all, then whom can you call evil? ||6||
Ee marafiki wangu, patanisha akili yako kwa neno la Guru na ujionee mwenyewe kwamba Mungu anaishi katika kila mmoja, basi unaweza kumuita nani mwovu?

ਬੁਰਾ ਭਲਾ ਤਿਚਰੁ ਆਖਦਾ ਜਿਚਰੁ ਹੈ ਦੁਹੁ ਮਾਹਿ ॥
buraa bhalaa tichar aakh-daa jichar hai duhu maahi.
One calls someone good or bad only as long as he is caught in duality.
Mtu anaita mwengine mzuri au mbaya ili mradi yeye amenaswa katika uwili.

ਗੁਰਮੁਖਿ ਏਕੋ ਬੁਝਿਆ ਏਕਸੁ ਮਾਹਿ ਸਮਾਇ ॥੭॥
gurmukh ayko bujhi-aa aykas maahi samaa-ay. ||7||
But a Guru’s follower has realized one God alone, and remains merged in Him only. ||7||
Lakini mfuasi wa Guru amegundua Mungu Mmoja peke yake, na anabaki ameunganishwa katika Mungu peke yake.

ਸੇਵਾ ਸਾ ਪ੍ਰਭ ਭਾਵਸੀ ਜੋ ਪ੍ਰਭੁ ਪਾਏ ਥਾਇ ॥
sayvaa saa parabh bhaavsee jo parabh paa-ay thaa-ay.
O’ my friend, only that devotional worship is pleasing to God, which He approves.
Ee rafiki wangu, ni ibada hiyo ya ujitoaji tu inayopendeza Mungu, ambayo Yeye anaidhinisha.

ਜਨ ਨਾਨਕ ਹਰਿ ਆਰਾਧਿਆ ਗੁਰ ਚਰਣੀ ਚਿਤੁ ਲਾਇ ॥੮॥੨॥੪॥੯॥
jan naanak har aaraaDhi-aa gur charnee chit laa-ay. ||8||2||4||9||
O’ Nanak, the Guru’s followers lovingly remember God by attuning to the Guru’s immaculate words. ||8||2||4||9||
Ee Nanak, wafuasi wa Guru wanamkumbuka Mungu kwa upendo kwa kumakinikia maneno safi ya Guru.

ਰਾਗੁ ਸੂਹੀ ਅਸਟਪਦੀਆ ਮਹਲਾ ੪ ਘਰੁ ੨
raag soohee asatpadee-aa mehlaa 4 ghar 2
Raag Soohee, Ashtapadees, Fourth Guru, Second Beat:
Raag Soohee, Ashtapadees, Guru wa Nne, Mpigo wa Pili:

ੴ ਸਤਿਗੁਰ ਪ੍ਰਸਾਦਿ ॥
ik-oNkaar satgur parsaad.
One eternal God, realised by the grace of the True Guru:
Mungu Mmoja wa milele, anayegunduliwa kwa neema ya Guru wa Kweli:

ਕੋਈ ਆਣਿ ਮਿਲਾਵੈ ਮੇਰਾ ਪ੍ਰੀਤਮੁ ਪਿਆਰਾ ਹਉ ਤਿਸੁ ਪਹਿ ਆਪੁ ਵੇਚਾਈ ॥੧॥
ko-ee aan milaavai mayraa pareetam pi-aaraa ha-o tis peh aap vaychaa-ee. ||1||
If someone comes and unites me with my beloved God, then I would offer myself to that person. ||1||
Iwapo mtu aje na kuniunganisha na Mungu wangu mpendwa, basi nitajitoa kwa mtu huyo.

ਦਰਸਨੁ ਹਰਿ ਦੇਖਣ ਕੈ ਤਾਈ ॥
darsan har daykhan kai taa-ee.
O’ God, in order to get a glimpse of you,
Ee Mungu, ili kupata mwono mdogo wako Wewe,

ਕ੍ਰਿਪਾ ਕਰਹਿ ਤਾ ਸਤਿਗੁਰੁ ਮੇਲਹਿ ਹਰਿ ਹਰਿ ਨਾਮੁ ਧਿਆਈ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
kirpaa karahi taa satgur mayleh har har naam Dhi-aa-ee. ||1|| rahaa-o.
O’ God, if You show mercy and unite me with the true Guru, then I would always keep meditating on Your Name. ||1||Pause||
Ee Mungu, iwapo Wewe unionee huruma na uniunganishe na Guru wa kweli, basi daima ningeendelea kutafakari kuhusu Jina lako. ||1||Sitisha||

ਜੇ ਸੁਖੁ ਦੇਹਿ ਤ ਤੁਝਹਿ ਅਰਾਧੀ ਦੁਖਿ ਭੀ ਤੁਝੈ ਧਿਆਈ ॥੨॥
jay sukh deh ta tujheh araaDhee dukh bhee tujhai Dhi-aa-ee. ||2||
O’ God, if You bless me with happiness I would contemplate on You, and even in the state of misery, I would lovingly remember You. ||2||
Ee Mungu, iwapo Wewe unibariki na furaha ningekutafaakri Wewe, na hata katika hali ya taabu, ningekukumbuka Wewe kwa upendo.

ਜੇ ਭੁਖ ਦੇਹਿ ਤ ਇਤ ਹੀ ਰਾਜਾ ਦੁਖ ਵਿਚਿ ਸੂਖ ਮਨਾਈ ॥੩॥
jay bhukh deh ta it hee raajaa dukh vich sookh manaa-ee. ||3||
I would be satisfied even if You keep me hungry, and would feel happy in pain as well. ||3||
Ningeridhishwa hata iwapo Wewe uniweke kwa njaa, na ningehisi furaha katika maumivu pia.

ਤਨੁ ਮਨੁ ਕਾਟਿ ਕਾਟਿ ਸਭੁ ਅਰਪੀ ਵਿਚਿ ਅਗਨੀ ਆਪੁ ਜਲਾਈ ॥੪॥
tan man kaat kaat sabh arpee vich agnee aap jalaa-ee. ||4||
O’ God, I would cut my body and mind into pieces, offer it all to You, and wouldn’t hesitate to burn myself on fire, just to get a glimpse of You. ||4||
Ee Mungu, ningekata mwili na akili yangu iwe vipande vipande, kuviwasilisha vyote kwako, na singesita kujiteketeza motoni, kupata tu mwono mdogo wako Wewe.

ਪਖਾ ਫੇਰੀ ਪਾਣੀ ਢੋਵਾ ਜੋ ਦੇਵਹਿ ਸੋ ਖਾਈ ॥੫॥
pakhaa fayree paanee dhovaa jo dayveh so khaa-ee. ||5||
I would wave a fan over Your devotees, carry water for them, and would happily eat whatever You provide. ||5||
Ningepunga fani juu ya watawa wako, kuwabebea maji, na kula chochote unachonipa kwa furaha.

ਨਾਨਕੁ ਗਰੀਬੁ ਢਹਿ ਪਇਆ ਦੁਆਰੈ ਹਰਿ ਮੇਲਿ ਲੈਹੁ ਵਡਿਆਈ ॥੬॥
naanak gareeb dheh pa-i-aa du-aarai har mayl laihu vadi-aa-ee. ||6||
O’ God, humble Nanak has surrendered to You; please unite him with Yourself. This would surely be Your greatness. ||6||
Ee Mungu, mnyenyekevu Nanak amejisalimisha kwako Wewe; tafadhali muunganishe nawe Mwenyewe. Bila shaka huu utakuwa ukuu wako.

ਅਖੀ ਕਾਢਿ ਧਰੀ ਚਰਣਾ ਤਲਿ ਸਭ ਧਰਤੀ ਫਿਰਿ ਮਤ ਪਾਈ ॥੭॥
akhee kaadh Dharee charnaa tal sabh Dhartee fir mat paa-ee. ||7||
O’ God, I would pluck out my eyes, and place under the feet of the Guru and would roam around the entire earth, in the hope that I may find You. ||7||
Ee Mungu, ningeng’oa macho yangu, na kuyaweka chini ya miguu ya Guru na kuzurura nikizunguka dunia nzima, katika tumaini kwamba naweza kukupata Wewe.

ਜੇ ਪਾਸਿ ਬਹਾਲਹਿ ਤਾ ਤੁਝਹਿ ਅਰਾਧੀ ਜੇ ਮਾਰਿ ਕਢਹਿ ਭੀ ਧਿਆਈ ॥੮॥
jay paas bahaaleh taa tujheh araaDhee jay maar kadheh bhee Dhi-aa-ee. ||8||
O’ God, if You keep me near You, I would keep meditating on You, and even if You keep me away, I would still lovingly remember You. ||8||
Ee Mungu, iwapo uniweke mimi karibu na Wewe, ningeendelea kukutafakari Wewe, na hata iwapo uniweke mbali, bado ningekukumbuka Wewe kwa upendo.

ਜੇ ਲੋਕੁ ਸਲਾਹੇ ਤਾ ਤੇਰੀ ਉਪਮਾ ਜੇ ਨਿੰਦੈ ਤ ਛੋਡਿ ਨ ਜਾਈ ॥੯॥
jay lok salaahay taa tayree upmaa jay nindai ta chhod na jaa-ee. ||9||
If people praise me it would be Your glory, and if they slander me still I wouldn’t go away abandoning You. ||9||
Iwapo watu wanisifu huo ungekuwa utukufu wako, na iwapo wanichongeze bado singeondoka na kukuacha Wewe.

ਜੇ ਤੁਧੁ ਵਲਿ ਰਹੈ ਤਾ ਕੋਈ ਕਿਹੁ ਆਖਉ ਤੁਧੁ ਵਿਸਰਿਐ ਮਰਿ ਜਾਈ ॥੧੦॥
jay tuDh val rahai taa ko-ee kihu aakha-o tuDh visri-ai mar jaa-ee. ||10||
O’ God! if I remain imbued with Your love then anyone can say anything; but if I forget You, then I would surely die spiritually. ||10||
Ee Mungu! Iwapo nibaki nimepenyezwa na upendo wako basi mtu anaweza kusema chochote; lakini iwapo nikusahau Wewe, basi bila shaka ningekufa kiroho.

ਵਾਰਿ ਵਾਰਿ ਜਾਈ ਗੁਰ ਊਪਰਿ ਪੈ ਪੈਰੀ ਸੰਤ ਮਨਾਈ ॥੧੧॥
vaar vaar jaa-ee gur oopar pai pairee sant manaa-ee. ||11||
I would dedicate myself again and again to the Guru, and bowing respectfully in front of him, I would try to please him. ||11||
Ningejiweka wakfu tena na tena kwa Guru, na kwa kusujudu kwa upendo mbele yake, ningejaribu kumpendeza.

ਨਾਨਕੁ ਵਿਚਾਰਾ ਭਇਆ ਦਿਵਾਨਾ ਹਰਿ ਤਉ ਦਰਸਨ ਕੈ ਤਾਈ ॥੧੨॥
naanak vichaaraa bha-i-aa divaanaa har ta-o darsan kai taa-ee. ||12||
O’ God, humble Nanak has become bewildered, yearning to behold Your blessed vision. ||12||
Ee Mungu, mnyenyekevu Nanak amefadhaika, akitamani kutazama mwono wako uliobarikiwa.

ਝਖੜੁ ਝਾਗੀ ਮੀਹੁ ਵਰਸੈ ਭੀ ਗੁਰੁ ਦੇਖਣ ਜਾਈ ॥੧੩॥
jhakharh jhaagee meehu varsai bhee gur daykhan jaa-ee. ||13||
Even if a violent storm is raging and torrential rain is falling, still braving that storm I would go to see the Guru. ||13||
Hata iwapo dhoruba kali inavuma na mvua mingi sana inanyesha, bado nikivumilia dhoruba hiyo ningeenda kuona Guru.

ਸਮੁੰਦੁ ਸਾਗਰੁ ਹੋਵੈ ਬਹੁ ਖਾਰਾ ਗੁਰਸਿਖੁ ਲੰਘਿ ਗੁਰ ਪਹਿ ਜਾਈ ॥੧੪॥
samund saagar hovai baho khaaraa gursikh langh gur peh jaa-ee. ||14||
Even if there is a very vast and brackish sea in front of him, the Guru’s disciple would cross it and go to the Guru. ||14||
Hata iwapo kuna bahari kubwa mno na yenye chumvi mbele yake, mwanafunzi wa Guru angeivuka na kuenda kwa Guru.

ਜਿਉ ਪ੍ਰਾਣੀ ਜਲ ਬਿਨੁ ਹੈ ਮਰਤਾ ਤਿਉ ਸਿਖੁ ਗੁਰ ਬਿਨੁ ਮਰਿ ਜਾਈ ॥੧੫॥
ji-o paraanee jal bin hai martaa ti-o sikh gur bin mar jaa-ee. ||15||
Just as one dies without water, similarly a devotee feels spiritually dead without meeting the Guru. ||15||
Kama vile samaki anakufa bila maji, vivyo hivyo mtawa anahisi amekufa klroho bila kukutana na Guru.

error: Content is protected !!