Swahili Page 741

ਕਰਣਹਾਰ ਕੀ ਸੇਵ ਨ ਸਾਧੀ ॥੧॥
karanhaar kee sayv na saaDhee. ||1||
You are our creator but we don’t perform your devotional worship. ||1||
Wewe ndiwe muumba wetu lakini hatufanyi ibada yako ya ujitoaji.

ਪਤਿਤ ਪਾਵਨ ਪ੍ਰਭ ਨਾਮ ਤੁਮਾਰੇ ॥
patit paavan parabh naam tumaaray.
O’ God, Your very Name is the purifier of sinners,
Ee Mungu, Jina lako lenyewe ndilo linalotakasa watenda dhambi,

ਰਾਖਿ ਲੇਹੁ ਮੋਹਿ ਨਿਰਗੁਨੀਆਰੇ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
raakh layho mohi nirgunee-aaray. ||1|| rahaa-o.
therefore save me, the unvirtuous one, from vices. ||1||Pause||
hivyo basi niokoe, mimi nisiye na fadhila, kutoka kwa maovu. ||1||Sitisha||

ਤੂੰ ਦਾਤਾ ਪ੍ਰਭ ਅੰਤਰਜਾਮੀ ॥
tooN daataa parabh antarjaamee.
O’ God, You are the benevolent Master and omniscient
Ee Mungu, Wewe ndiwe Bwana mwema na mwenye maarifa yote

ਕਾਚੀ ਦੇਹ ਮਾਨੁਖ ਅਭਿਮਾਨੀ ॥੨॥
kaachee dayh maanukh abhimaanee. ||2||
but we human beings keep feeling arrogant of our perishable body. ||2||
lakini sisi binadamu tunaendelea kuhisi kiburi juu ya mwili wetu unaoweza kufa.

ਸੁਆਦ ਬਾਦ ਈਰਖ ਮਦ ਮਾਇਆ ॥
su-aad baad eerakh mad maa-i-aa.
Pleasures of worldly things, conflicts, jealousy, and intoxication with Maya,
Raha ya vitu vya kidunia, mizozano, wivu na kulevya kwa Maya,

ਇਨ ਸੰਗਿ ਲਾਗਿ ਰਤਨ ਜਨਮੁ ਗਵਾਇਆ ॥੩॥
in sang laag ratan janam gavaa-i-aa. ||3||
attached to these, one wastes his gem-like precious human life. ||3||
kwa kuambatishwa kwa hizi, mtu anaharibu maisha yake ya kibinadamu yenye thamani kama kito.

ਦੁਖ ਭੰਜਨ ਜਗਜੀਵਨ ਹਰਿ ਰਾਇਆ ॥
dukh bhanjan jagjeevan har raa-i-aa.
O’ God! the destroyer of sorrows, the life of the world and sovereign King;
Ee Mungu! Mwangamizi wa huzuni, uhai wa dunia na Mfalme mwenye enzi kuu;

ਸਗਲ ਤਿਆਗਿ ਨਾਨਕੁ ਸਰਣਾਇਆ ॥੪॥੧੩॥੧੯॥
sagal ti-aag naanak sarnaa-i-aa. ||4||13||19||
abandoning all others, Nanak has come to Your refuge. ||4||13||19||
akiacha wengine wote, Nanak amekuja kwa kimbilio chako.

ਸੂਹੀ ਮਹਲਾ ੫ ॥
soohee mehlaa 5.
Raag Soohee, Fifth Guru:
Raag Soohee, Guru wa Tano:

ਪੇਖਤ ਚਾਖਤ ਕਹੀਅਤ ਅੰਧਾ ਸੁਨੀਅਤ ਸੁਨੀਐ ਨਾਹੀ ॥
paykhat chaakhat kahee-at anDhaa sunee-at sunee-ai naahee.
One who sees all worldly things but does not realize God pervading everywhere; one who listens to all worldly sounds, but does not listen to God’s praises, he is called spiritually ignorant.
Mtu anayeona vitu vyote vya kidunia lakini hagundui Mungu akienea kote; mtu anayesikiliza sauti zote za kidunia, lakini hasikilizi sifa za Mungu, yeye anaitwa mjinga wa kiroho.

ਨਿਕਟਿ ਵਸਤੁ ਕਉ ਜਾਣੈ ਦੂਰੇ ਪਾਪੀ ਪਾਪ ਕਮਾਹੀ ॥੧॥
nikat vasat ka-o jaanai dooray paapee paap kamaahee. ||1||
Even though Naam dwells within, yet he deems it far off and he, the sinner, keeps committing sins. ||1||
Hata iwapo Naam inaishi ndani mwake, ila yeye anaifikiria kuwa mbali naye, mtenda dhambi, anaendelea kutenda dhambi.

ਸੋ ਕਿਛੁ ਕਰਿ ਜਿਤੁ ਛੁਟਹਿ ਪਰਾਨੀ ॥
so kichh kar jit chhuteh paraanee.
O’ mortal, do the deeds by which you are emancipated (from evil deeds).
Ee binadamu, fanya vitendo ambavyo kwa kuvifanya utakombolewa (kutoka vitendo viovu).

ਹਰਿ ਹਰਿ ਨਾਮੁ ਜਪਿ ਅੰਮ੍ਰਿਤ ਬਾਨੀ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
har har naam jap amrit baanee. ||1|| rahaa-o.
Recite lovingly, the Name of God; the divine word of God’s praises is spirituallyrejuvenating. ||1||Pause||
Kariri kwa upendo, Jina la Mungu; neno takatifu la sifa za Mungu linasisimua kiroho. ||1||Sitisha||

ਘੋਰ ਮਹਲ ਸਦਾ ਰੰਗਿ ਰਾਤਾ ॥
ghor mahal sadaa rang raataa.
You always remain engrossed in worldly possessions like horses and mansions,
Daima utabaki umevama katika mali ya kidunia kama farasi na majumba,

ਸੰਗਿ ਤੁਮ੍ਹ੍ਹਾਰੈ ਕਛੂ ਨ ਜਾਤਾ ॥੨॥
sang tumHaarai kachhoo na jaataa. ||2||
but nothing out of these can accompany you in the end. ||2||
lakini hakuna kati ya haya yanaweza kuandamana nawe mwishowe.

ਰਖਹਿ ਪੋਚਾਰਿ ਮਾਟੀ ਕਾ ਭਾਂਡਾ ॥
rakheh pochaar maatee kaa bhaaNdaa.
O’ mortal, you are engaged in decorating this body which is like a pot of clay,
Ee binadamu, wewe umejihusisha katika kupamba mwili huu ambao ni kama chungu cha udongo.

ਅਤਿ ਕੁਚੀਲ ਮਿਲੈ ਜਮ ਡਾਂਡਾ ॥੩॥
at kucheel milai jam daaNdaa. ||3||
but it is very filthy because of vices; such a person gets punished by the demon of death. ||3||
lakini ni mchafu sana kwa sababu ya maovu; mtu kama huyo anaadhibiwa na pepo wa kifo.

ਕਾਮ ਕ੍ਰੋਧਿ ਲੋਭਿ ਮੋਹਿ ਬਾਧਾ ॥
kaam kroDh lobh mohi baaDhaa.
O’ mortal, you are bound by lust, anger, greed and emotional attachment.
Ee binadamu, wewe umefungwa kwa ukware, hasira, tamaa na kiambatisho cha kihisia.

ਮਹਾ ਗਰਤ ਮਹਿ ਨਿਘਰਤ ਜਾਤਾ ॥੪॥
mahaa garat meh nighrat jaataa. ||4||
You are sinking deeper into the extremely large pit of sins. ||4||
Wewe unazama kwa kina sana katika shimo kubwa sana la dhambi.

ਨਾਨਕ ਕੀ ਅਰਦਾਸਿ ਸੁਣੀਜੈ ॥ ਡੂਬਤ ਪਾਹਨ ਪ੍ਰਭ ਮੇਰੇ ਲੀਜੈ ॥੫॥੧੪॥੨੦॥
naanak kee ardaas suneejai. doobat paahan parabh mayray leejai. ||5||14||20||
O’ God! listen to the prayer of Nanak; we, the sinners, are sinking like stones, please save us from drowning in the worldly ocean of vices. ||5||14||20||
Ee Mungu! Sikiliza ombi la Nanak; sisi, watenda dhambi, tunazama kama mawe, tafadhali tuokoe kutoka kuzama katika bahari ya kidunia ya maovu.

ਸੂਹੀ ਮਹਲਾ ੫ ॥
soohee mehlaa 5.
Raag Soohee, Fifth Guru:
Raag Soohee, Guru wa Tano:

ਜੀਵਤ ਮਰੈ ਬੁਝੈ ਪ੍ਰਭੁ ਸੋਇ ॥
jeevat marai bujhai parabh so-ay.
That pesone alone realizes God, who detaches himself from the worldly temptations while living as a house holder.
Mtu huyo peke yake anagundua Mungu, ambaye anajitenga kutoka kwa majaribu ya kidunia wakari anaishi kama mwenye nyumba.

ਤਿਸੁ ਜਨ ਕਰਮਿ ਪਰਾਪਤਿ ਹੋਇ ॥੧॥
tis jan karam paraapat ho-ay. ||1||
And by the grace of God such a person unites with Him. ||1||
Na kwa neema ya Mungu mtu kama huyo anaungana na Mungu.

ਸੁਣਿ ਸਾਜਨ ਇਉ ਦੁਤਰੁ ਤਰੀਐ ॥
sun saajan i-o dutar taree-ai.
O’ friend! listen, the way to cross this dreadful worldly ocean of vices is,
Ee rafiki! Sikiliza, njia ya kuvuka bahari hii ya kidunia ya dhambi inayoogofya ni,

ਮਿਲਿ ਸਾਧੂ ਹਰਿ ਨਾਮੁ ਉਚਰੀਐ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
mil saaDhoo har naam uchree-ai. ||1|| rahaa-o.
that we should meet the Guru, follow his teachings and lovingly recite God’s Name. ||1||Pause||
kwamba tunafaa kukutana na Guru, kufuata mafundisho yake na kukariri Jina la Mungu kwa upendo. ||1||Sitisha||

ਏਕ ਬਿਨਾ ਦੂਜਾ ਨਹੀ ਜਾਨੈ ॥
ayk binaa doojaa nahee jaanai.
One who does not recognize anyone else other than God,
Yule ambaye hatambui yeyote ila Mungu,

ਘਟ ਘਟ ਅੰਤਰਿ ਪਾਰਬ੍ਰਹਮੁ ਪਛਾਨੈ ॥੨॥
ghat ghat antar paarbarahm pachhaanai. ||2||
realizes the supreme God dwelling in each and every heart. |2||
anagundua Mungu mkuu anayeishi katika kila moyo.

ਜੋ ਕਿਛੁ ਕਰੈ ਸੋਈ ਭਲ ਮਾਨੈ ॥
jo kichh karai so-ee bhal maanai.
One who accepts whatever God does as the best for all,
Yule anayekubali chochote ambacho Mungu anafanya kama kizuri kabisa kwa wote,

ਆਦਿ ਅੰਤ ਕੀ ਕੀਮਤਿ ਜਾਨੈ ॥੩॥
aad ant kee keemat jaanai. ||3||
understands the worth of the eternal God. ||3||
anaelewa thamani ya Mungu wa milele.

ਕਹੁ ਨਾਨਕ ਤਿਸੁ ਜਨ ਬਲਿਹਾਰੀ ॥ ਜਾ ਕੈ ਹਿਰਦੈ ਵਸਹਿ ਮੁਰਾਰੀ ॥੪॥੧੫॥੨੧॥
kaho naanak tis jan balihaaree. jaa kai hirdai vaseh muraaree. ||4||15||21||
O’ Nanak! say, O’ God! I am dedicated to the person in whose heart You dwell. ||4||15||21||
Ee Nanak! Sema, Ee Mungu! Mimi nimewekwa wakfu wa mtu ambaye Wewe unaishi moyoni mwake.

ਸੂਹੀ ਮਹਲਾ ੫ ॥
soohee mehlaa 5.
Raag Soohee, Fifth Guru
Raag Soohee, Guru wa Tano

ਗੁਰੁ ਪਰਮੇਸਰੁ ਕਰਣੈਹਾਰੁ ॥
gur parmaysar karnaihaar.
The Guru is the embodiment of the supreme God, the doer of everything.
Guru ndiye udhihirisho wa kimwili wa Mungu mkuu, mtendaji wa mambo yote.

ਸਗਲ ਸ੍ਰਿਸਟਿ ਕਉ ਦੇ ਆਧਾਰੁ ॥੧॥
sagal sarisat ka-o day aaDhaar. ||1||
The Guru provides support of Naam to the entire universe. ||1||
Guru anatoa tegemezo ya Naam kwa ulimwengu mzima.

ਗੁਰ ਕੇ ਚਰਣ ਕਮਲ ਮਨ ਧਿਆਇ ॥
gur kay charan kamal man Dhi-aa-ay.
O’ my mind, focus on the divine words of the Guru,
Ee akili yangu, kaza fikira kwa maneno takatifu ya Guru,

ਦੂਖੁ ਦਰਦੁ ਇਸੁ ਤਨ ਤੇ ਜਾਇ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
dookh darad is tan tay jaa-ay. ||1|| rahaa-o.
the pain and suffering of every kind shall leave this body of yours. ||1||Pause||
uchungu na mateso ya aina yote yataondoka kutoka kwa mwili huu wako. ||1||Sitisha||

ਭਵਜਲਿ ਡੂਬਤ ਸਤਿਗੁਰੁ ਕਾਢੈ ॥
bhavjal doobat satgur kaadhai.
The true Guru pulls out those drowning from the dreadful worldly ocean of vices
Guru wa kweli anaokoa wale wanaozama kutoka kwa bahari ya kidunia ya dhambi inayoogofya.

ਜਨਮ ਜਨਮ ਕਾ ਟੂਟਾ ਗਾਢੈ ॥੨॥
janam janam kaa tootaa gaadhai. ||2||
and unites them with God from whom they were separated for many births. ||2||
na kuwaunganisha na Mungu ambaye walikuwa wametenganishwa kutoka kwake kwa kuzaliwa kwingi.

ਗੁਰ ਕੀ ਸੇਵਾ ਕਰਹੁ ਦਿਨੁ ਰਾਤਿ ॥
gur kee sayvaa karahu din raat.
O’ brother, always serve the Guru by remembering God through his teachings,
Ee ndugu, tumikia Guru daima kwa kumkumbuka Mungu kupitia mafundisho yake.

ਸੂਖ ਸਹਜ ਮਨਿ ਆਵੈ ਸਾਂਤਿ ॥੩॥
sookh sahj man aavai saaNt. ||3||
celestial peace, poise and tranquility would well up in your mind. ||3||
amani ya kimbingu, usawazo na utulivu utajaa akilini mwako.

ਸਤਿਗੁਰ ਕੀ ਰੇਣੁ ਵਡਭਾਗੀ ਪਾਵੈ ॥
satgur kee rayn vadbhaagee paavai.
Only a very fortunate person receives the opportunity to follow the true Guru’s teachings.
Ni mtu mwenye bahati mno peke yake ambaye anapokea fursa ya kufuata mafundisho ya Guru wa kweli.

ਨਾਨਕ ਗੁਰ ਕਉ ਸਦ ਬਲਿ ਜਾਵੈ ॥੪॥੧੬॥੨੨॥
naanak gur ka-o sad bal jaavai. ||4||16||22||
O’ Nanak, that person is forever dedicated to the true Guru. ||4||16||22||
Ee Nanak, mtu huyo amewekwa wakfu milele kwa Guru wa kweli.

ਸੂਹੀ ਮਹਲਾ ੫ ॥
soohee mehlaa 5.
Raag Soohee, Fifth Guru:
Raag Soohee, Guru wa Tano:

ਗੁਰ ਅਪੁਨੇ ਊਪਰਿ ਬਲਿ ਜਾਈਐ ॥
gur apunay oopar bal jaa-ee-ai.
We should always be dedicated to our Guru.
Daima tunafaa kuwekwa wakfu kwa Guru wetu.

ਆਠ ਪਹਰ ਹਰਿ ਹਰਿ ਜਸੁ ਗਾਈਐ ॥੧॥
aath pahar har har jas gaa-ee-ai. ||1||
(because, by the Guru’s grace alone) we can always sing God’s praises. ||1||
(kwa sababu, kwa neema ya Guru peke yake) tunaweza kuimba sifa za Mungu daima.

ਸਿਮਰਉ ਸੋ ਪ੍ਰਭੁ ਅਪਨਾ ਸੁਆਮੀ ॥
simra-o so parabh apnaa su-aamee.
O’ brother, I always lovingly remember that God of mine,
Ee ndugu, daima ninakumbuka Mungu huyo wangu kwa upendo,

ਸਗਲ ਘਟਾ ਕਾ ਅੰਤਰਜਾਮੀ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
sagal ghataa kaa antarjaamee. ||1|| rahaa-o.
who is omniscient. ||1||Pause||
ambaye ana maarifa yote. ||1||Sitisha||

ਚਰਣ ਕਮਲ ਸਿਉ ਲਾਗੀ ਪ੍ਰੀਤਿ ॥
charan kamal si-o laagee pareet.
(Through the Guru’s grace) when one is imbued with the love of God’s Name,
(Kwa neema ya Guru) wakati mtu anapenyezwa na upendo wa Jina la Mungu,

ਸਾਚੀ ਪੂਰਨ ਨਿਰਮਲ ਰੀਤਿ ॥੨॥
saachee pooran nirmal reet. ||2||
then his lifestyle becomes righteous, successful and immaculate, ||2||
kisha mtindo wake wa maisha unakuwa adilifu, wenye mafanikio na safi,

ਸੰਤ ਪ੍ਰਸਾਦਿ ਵਸੈ ਮਨ ਮਾਹੀ ॥
sant parsaad vasai man maahee.
By the Guru’s grace, the person in whose mind God manifests,
Kwa neema ya Guru, mtu ambaye Mungu anadhihirika akilini mwake,

ਜਨਮ ਜਨਮ ਕੇ ਕਿਲਵਿਖ ਜਾਹੀ ॥੩॥
janam janam kay kilvikh jaahee. ||3||
the sins of countless births of that person are eradicated. ||3||
dhambi za kuzaliwa kwingi kusiohesabika zinatokomezwa.

ਕਰਿ ਕਿਰਪਾ ਪ੍ਰਭ ਦੀਨ ਦਇਆਲਾ ॥
kar kirpaa parabh deen da-i-aalaa.
O’ merciful God of the meek, bestow mercy on me,
Ee Mungu mwenye huruma wa wapole, tawaza huruma kwangu,

ਨਾਨਕੁ ਮਾਗੈ ਸੰਤ ਰਵਾਲਾ ॥੪॥੧੭॥੨੩॥
naanak maagai sant ravaalaa. ||4||17||23||
Nanak begs from You the dust of the feet (humble service) of Your saints ||4||17||23||
Nanak anaomba kutoka Kwako mchanga wa miguu (huduma nyenyekevu) ya watakatifu wako.

error: Content is protected !!