ਭ੍ਰਮੁ ਭਉ ਕਾਟਿ ਕੀਏ ਨਿਰਵੈਰੇ ਜੀਉ ॥
bharam bha-o kaat kee-ay nirvairay jee-o.
By removing my fears and doubts, the Guru has made me free of enmity.
Kwa kuondoa woga na shaka yangu, Guru amenifanya niwe huru kutoka chuki.
ਗੁਰ ਮਨ ਕੀ ਆਸ ਪੂਰਾਈ ਜੀਉ ॥੪॥
gur man kee aas pooraa-ee jee-o. ||4||
The Guru has fulfilled my hope of meditation on God. ||4||
Guru ametimiza tumaini langu la kutafakari kwa Mungu.
ਜਿਨਿ ਨਾਉ ਪਾਇਆ ਸੋ ਧਨਵੰਤਾ ਜੀਉ ॥
jin naa-o paa-i-aa so Dhanvantaa jee-o.
Blessed is the one who attains the wealth of Naam.
Amebarikiwa yule anayepata utajiri wa Naam.
ਜਿਨਿ ਪ੍ਰਭੁ ਧਿਆਇਆ ਸੁ ਸੋਭਾਵੰਤਾ ਜੀਉ ॥
jin parabh Dhi-aa-i-aa so sobhaavantaa jee-o.
One who meditates on God becomes distinguished.
Yule anayetafakari kuhusu Mungu anaheshimika.
ਜਿਸੁ ਸਾਧੂ ਸੰਗਤਿ ਤਿਸੁ ਸਭ ਸੁਕਰਣੀ ਜੀਉ ॥
jis saaDhoo sangat tis sabh sukarnee jee-o.
Sublime are the deeds of the one who joins the holy congregation;
Tukufu ni vitendo vya yule anayejiunga na ushirika takatifu;
ਜਨ ਨਾਨਕ ਸਹਜਿ ਸਮਾਈ ਜੀਉ ॥੫॥੧॥੧੬੬॥
jan naanak sahj samaa-ee jee-o. ||5||1||166||
O’ Nanak, such a person has intuitively merged in the eternal God. ||5||1||166||
Ee Nanak, mtu kama huyo aneunganishwa katika Mungu wa milele kwa hisia na silika.
ਗਉੜੀ ਮਹਲਾ ੫ ਮਾਝ ॥
ga-orhee mehlaa 5 maajh.
Raag Gauree Maajh, Fifth Guru:
Raag Gauree Maajh, Guru wa Tano:
ਆਉ ਹਮਾਰੈ ਰਾਮ ਪਿਆਰੇ ਜੀਉ ॥
aa-o hamaarai raam pi-aaray jee-o.
O’ my beloved God, come and dwell in my heart.
Ee Mungu wangu mpendwa, kuja uishi moyoni mwangu.
ਰੈਣਿ ਦਿਨਸੁ ਸਾਸਿ ਸਾਸਿ ਚਿਤਾਰੇ ਜੀਉ ॥
rain dinas saas saas chitaaray jee-o.
I remember You always, with every breath.
Nakukumbuka Wewe daima, kwa kila pumzi ninayopumua.
ਸੰਤ ਦੇਉ ਸੰਦੇਸਾ ਪੈ ਚਰਣਾਰੇ ਜੀਉ ॥
sant day-o sandaysaa pai charnaaray jee-o.
With utmost humility I approach You through the Guru, saying
Kwa unyenyekevu kamili nakujongea kupitia kwa Guru, nikisema
ਤੁਧੁ ਬਿਨੁ ਕਿਤੁ ਬਿਧਿ ਤਰੀਐ ਜੀਉ ॥੧॥
tuDh bin kit biDh taree-ai jee-o. ||1||
that without You I can’t swim across the worldly ocean of vices. ||1||
kwamba bila Wewe siwezi kuogelea nikivuka bahari ya kidunia ya dhambi.
ਸੰਗਿ ਤੁਮਾਰੈ ਮੈ ਕਰੇ ਅਨੰਦਾ ਜੀਉ ॥
sang tumaarai mai karay anandaa jee-o.)
O’ God, being in Your company I enjoy the state of bliss.
Ee Mungu, kwa kuwa katika uandamano wako nafurahia hali ya raha tele.
ਵਣਿ ਤਿਣਿ ਤ੍ਰਿਭਵਣਿ ਸੁਖ ਪਰਮਾਨੰਦਾ ਜੀਉ ॥
van tin taribhavan sukh parmaanandaa jee-o.
Yes, I feel the state of supreme bliss beholding You everywhere and in everything.
Ndio, nahisi hali ya raha tele kuu nikikutazama kila mahali na katika kila kitu.
ਸੇਜ ਸੁਹਾਵੀ ਇਹੁ ਮਨੁ ਬਿਗਸੰਦਾ ਜੀਉ ॥
sayj suhaavee ih man bigsandaa jee-o.
My heart is joyful to welcome You.
Moyo wangu unafurahia kukukaribisha.
ਪੇਖਿ ਦਰਸਨੁ ਇਹੁ ਸੁਖੁ ਲਹੀਐ ਜੀਉ ॥੨॥
paykh darsan ih sukh lahee-ai jee-o. ||2||
This bliss is attained by realizing Your presence alone.||2||
Raha tele hii inapatwa kwa kugundua uwepo Wako pekee.
ਚਰਣ ਪਖਾਰਿ ਕਰੀ ਨਿਤ ਸੇਵਾ ਜੀਉ ॥
charan pakhaar karee nit sayvaa jee-o.
I always follow the Guru’s teachings with utmost devotion.
Daima nafuata mafundisho ya Guru kwa kujitolea kikamilifu.
ਪੂਜਾ ਅਰਚਾ ਬੰਦਨ ਦੇਵਾ ਜੀਉ ॥
poojaa archaa bandan dayvaa jee-o.
For me this is my worship, flower offerings and paying of respect to the angels.
Kwangu hii ni ibada, matoleo ya maua na kutoa heshima kwangu kwa malaika.
ਦਾਸਨਿ ਦਾਸੁ ਨਾਮੁ ਜਪਿ ਲੇਵਾ ਜੀਉ ॥
daasan daas naam jap layvaa jee-o.
It is my wish to become a humble servant of your devotees and always meditate on Naam.
Ni hamu yangu kuwa mtumishi mnyenyekevu wa watawa wako na nitafakari daima kuhusu Naam.
ਬਿਨਉ ਠਾਕੁਰ ਪਹਿ ਕਹੀਐ ਜੀਉ ॥੩॥
bin-o thaakur peh kahee-ai jee-o. ||3||
And, I requestyour devotees to convey this prayer of mine to You, the Master-God. ||3||
Na, naomba watawa wako wapitishe ombi langu hili kwako Wewe, Bwana-Mungu.
ਇਛ ਪੁੰਨੀ ਮੇਰੀ ਮਨੁ ਤਨੁ ਹਰਿਆ ਜੀਉ ॥
ichh punnee mayree man tan hari-aa jee-o.
My desires are fulfilled and my mind and body are rejuvenated.
Hamu zangu zinatimizwa na akili na mwili wangu unahisi msismko.
ਦਰਸਨ ਪੇਖਤ ਸਭ ਦੁਖ ਪਰਹਰਿਆ ਜੀਉ ॥
darsan paykhat sabh dukh parhari-aa jee-o.
Realizing Your presence, my sorrows have been dispelled.
Kwa kugundua uwepo wako, huzuni yangu imeondolewa.
ਹਰਿ ਹਰਿ ਨਾਮੁ ਜਪੇ ਜਪਿ ਤਰਿਆ ਜੀਉ ॥
har har naam japay jap tari-aa jee-o.
By always meditating on Your Name, I have crossed the world-ocean of vices.
Kwa kutafakari kuhusu Jina lako daima, nimevuka bahari-dunia ya dhambi.
ਇਹੁ ਅਜਰੁ ਨਾਨਕ ਸੁਖੁ ਸਹੀਐ ਜੀਉ ॥੪॥੨॥੧੬੭॥
ih ajar naanak sukh sahee-ai jee-o. ||4||2||167||
O’ Nanak, by realizing Your blessed presence one enjoys such a celestial bliss that never wanes. ||4||2||167||
Ee Nanak, kwa kugundua uwepo wako uliobarikiwa mtu anafurahia raha tele ya mbinguni ambayo kamwe haididimii.
ਗਉੜੀ ਮਾਝ ਮਹਲਾ ੫ ॥
ga-orhee maajh mehlaa 5.
Raag Gauree Maajh, Fifth Guru:
Raag Gauree Maajh, Guru wa Tano:
ਸੁਣਿ ਸੁਣਿ ਸਾਜਨ ਮਨ ਮਿਤ ਪਿਆਰੇ ਜੀਉ ॥
sun sun saajan man mit pi-aaray jee-o.
Listen O’ my dear God, the beloved of my heart!
Sikiliza Ee Mungu wangu mpendwa, mpendwa wa moyo wangu!
ਮਨੁ ਤਨੁ ਤੇਰਾ ਇਹੁ ਜੀਉ ਭਿ ਵਾਰੇ ਜੀਉ ॥
man tan tayraa ih jee-o bhe vaaray jee-o.
this mind, body and soul are blessed by You and I totally dedicate myself to You.
Akili, mwili na roho hii imebarikiwa na Wewe na najiweka wakfu kikamilifu kwako Wewe.
ਵਿਸਰੁ ਨਾਹੀ ਪ੍ਰਭ ਪ੍ਰਾਣ ਅਧਾਰੇ ਜੀਉ ॥
visar naahee parabh paraan aDhaaray jee-o.
O’ God, the Support of my life, I never want to forget You and
Ee Mungu, Tegemezo ya maisha yangu, kamwe sitaki kukusahau na
ਸਦਾ ਤੇਰੀ ਸਰਣਾਈ ਜੀਉ ॥੧॥
sadaa tayree sarnaa-ee jee-o. ||1||
I want to always remain in Your refuge! ||1||
Nataka kubaki daima katika kimbilio chako!
ਜਿਸੁ ਮਿਲਿਐ ਮਨੁ ਜੀਵੈ ਭਾਈ ਜੀਉ ॥
jis mili-ai man jeevai bhaa-ee jee-o.
On the realization of God, one spiritually rejuvenates
Pindi tu anapotambua Mungu, mtu anasisimuliwa kiroho
ਗੁਰ ਪਰਸਾਦੀ ਸੋ ਹਰਿ ਹਰਿ ਪਾਈ ਜੀਉ ॥
gur parsaadee so har har paa-ee jee-o.
but He can only be realized by the Guru’s grace.
Lakini Yeye anaweza tu kugunduliwa kwa neema ya Guru.
ਸਭ ਕਿਛੁ ਪ੍ਰਭ ਕਾ ਪ੍ਰਭ ਕੀਆ ਜਾਈ ਜੀਉ ॥
sabh kichh parabh kaa parabh kee-aa jaa-ee jee-o.
Everything including my mind and body belongs to God; all places belong to Him.
Kila kitu vikiwemo akili na mwili wangu ni vya Mungu; pahali pote ni pake.
ਪ੍ਰਭ ਕਉ ਸਦ ਬਲਿ ਜਾਈ ਜੀਉ ॥੨॥
parabh ka-o sad bal jaa-ee jee-u.||2||
I dedicate myself to God forever. ||2||
Najiweka wakfu kwa Mungu milele.
ਏਹੁ ਨਿਧਾਨੁ ਜਪੈ ਵਡਭਾਗੀ ਜੀਉ ॥
ayhu niDhaan japai vadbhaagee jee-o.
Only someone very fortunate meditates on the treasure of Naam,
Mtu mwenye bahati nzuri pekee anatafakari kuhusu hazina ya Naam,
ਨਾਮ ਨਿਰੰਜਨ ਏਕ ਲਿਵ ਲਾਗੀ ਜੀਉ ॥
naam niranjan ayk liv laagee jee-o.
Such a person is totally attuned to the Name of the immaculate God.
Mtu kama huyo amemakinikia kikamilifu Jina la Mungu safi.
ਗੁਰੁ ਪੂਰਾ ਪਾਇਆ ਸਭੁ ਦੁਖੁ ਮਿਟਾਇਆ ਜੀਉ ॥
gur pooraa paa-i-aa sabh dukh mitaa-i-aa jee-o.
On meeting the perfect Guru, all his sorrows are dispelled,
Pindi tu anapokutana na Guru kamili, huzuni yake yote inaondolewa,
ਆਠ ਪਹਰ ਗੁਣ ਗਾਇਆ ਜੀਉ ॥੩॥
aath pahar gun gaa-i-aa jee-o. ||3||
and he sings forever, the praises of God.||3||
na anaimba milele, sifa za Mungu.
ਰਤਨ ਪਦਾਰਥ ਹਰਿ ਨਾਮੁ ਤੁਮਾਰਾ ਜੀਉ ॥
ratan padaarath har naam tumaaraa jee-o.
O’ God, Your Name is like a highly precious jewel.
Ee Mungu, Jina lako ni kama kito chenye thamani ya juu.
ਤੂੰ ਸਚਾ ਸਾਹੁ ਭਗਤੁ ਵਣਜਾਰਾ ਜੀਉ ॥
tooN sachaa saahu bhagat vanjaaraa jee-o.
You are the eternal banker and Your devotee is a trader of Naam.
Wewe ndiwe mkurugenzi wa benki wa milele na mtawa wako ni mfanya biashara ya Naam.
ਹਰਿ ਧਨੁ ਰਾਸਿ ਸਚੁ ਵਾਪਾਰਾ ਜੀਉ ॥
har Dhan raas sach vaapaaraa jee-o.
O’ God, Your Name is the true capital and Your devotee always trades in Naam.
Ee Mungu, Jina lako ni rasilimali ya kweli na mtawa wako daima anafanya biashara ya Naam.
ਜਨ ਨਾਨਕ ਸਦ ਬਲਿਹਾਰਾ ਜੀਉ ॥੪॥੩॥੧੬੮॥
jan naanak sad balihaaraa jee-o. ||4||3||168||
O’ Nanak, I dedicate myself to You and to Your devotees forever. ||4||3||168||
Ee Nanak, najiweka wakfu kwako na watawa wako milele.
ਰਾਗੁ ਗਉੜੀ ਮਾਝ ਮਹਲਾ ੫
raag ga-orhee maajh mehlaa 5
Raag Gauree Maajh, Fifth Mehl:
Raag Gauree Maajh, Mehl wa Tano:
ੴ ਸਤਿਗੁਰ ਪ੍ਰਸਾਦਿ ॥
ik-oNkaar satgur parsaad.
One eternal God, realized by the grace of the true Guru:
Mungu Mmoja wa milele, anayegunduliwa kwa neema ya Guru wa kweli:
ਤੂੰ ਮੇਰਾ ਬਹੁ ਮਾਣੁ ਕਰਤੇ ਤੂੰ ਮੇਰਾ ਬਹੁ ਮਾਣੁ ॥
tooN mayraa baho maan kartay tooN mayraa baho maan.
O’ Creator, I feel very proud of You and in You I take great pride.
Ee Muumba, nahisi fahari mno Kwako na Kwako natoa fahari kuu.
ਜੋਰਿ ਤੁਮਾਰੈ ਸੁਖਿ ਵਸਾ ਸਚੁ ਸਬਦੁ ਨੀਸਾਣੁ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
jor tumaarai sukh vasaa sach sabad neesaan. ||1|| rahaa-o.
By Your Almighty Power, I dwell in peace. Your divine word is the stamp of approval for my journey of life. ||1||Pause||
Kwa Nguvu yako Kuu, naishi kwa amani. Neno lako takatifu ndilo muhuri ya ikuidhinisha safari yangu ya maisha. ||1||Sitisha||
ਸਭੇ ਗਲਾ ਜਾਤੀਆ ਸੁਣਿ ਕੈ ਚੁਪ ਕੀਆ ॥
sabhay galaa jaatee-aa sun kai chup kee-aa.
O’ God, the human being engrossed in Maya, is fully aware of the righteous deeds but remains aloof from them.
Ee Mungu, binadamu amevama katika Maya, anafahamu kabisa vitendo adilifu lakini anajitenga kutoka kwao.
ਕਦ ਹੀ ਸੁਰਤਿ ਨ ਲਧੀਆ ਮਾਇਆ ਮੋਹੜਿਆ ॥੧॥
kad hee surat na laDhee-aa maa-i-aa mohrhi-aa. ||1||
Bewitched by Maya, he does not acquire the intellect to know God. ||1||
Akivutiwa mno na Maya, yeye hapati akili ya kumjua Mungu.
ਦੇਇ ਬੁਝਾਰਤ ਸਾਰਤਾ ਸੇ ਅਖੀ ਡਿਠੜਿਆ ॥
day-ay bujhaarat saartaa say akhee dith-rhi-aa.
Even after receiving clear signals that no one is going to stay here forever,
Hata baada ya kupokea ishara dhahiri kwamba hakuna ambaye atakaa humu milele,