ਹਰਿ ਹਰਿ ਨਾਮੁ ਜੀਅ ਪ੍ਰਾਨ ਅਧਾਰੁ ॥
har har naam jee-a paraan aDhaar.
Now Naam has become the mainstay of my life breath.
Sasa Naam imekuwa nguzo ya uhai wangu.
ਸਾਚਾ ਧਨੁ ਪਾਇਓ ਹਰਿ ਰੰਗਿ ॥
saachaa Dhan paa-i-o har rang.
Being imbued with God’s love, I have obtained the true wealth of Naam.
Nikiwa nimejawa na upendo wa Mungu, nimepata utajiri wa kweli wa Naam.
ਦੁਤਰੁ ਤਰੇ ਸਾਧ ਕੈ ਸੰਗਿ ॥੩॥
dutar taray saaDh kai sang. ||3||
I have crossed over the treacherous world-ocean by joining the holy congregation.
Nimevuka bahari-dunia mbaya sana kwa kujiunga na ushirika takatifu.
ਸੁਖਿ ਬੈਸਹੁ ਸੰਤ ਸਜਨ ਪਰਵਾਰੁ ॥
sukh baishu sant sajan parvaar.
O’ saints (family of holy people) may you all live in spiritual bliss,
Ee watakatifu (familia ya watu watakatifu) naomba muishi katika raha tele ya kiroho,
ਹਰਿ ਧਨੁ ਖਟਿਓ ਜਾ ਕਾ ਨਾਹਿ ਸੁਮਾਰੁ ॥
har Dhan khati-o jaa kaa naahi sumaar.
and earn the wealth of Naam, the worth of which is beyond estimation.
Na mchume utajiri wa Naam, ambayo thamani yake haiwezi kukadirika.
ਜਿਸਹਿ ਪਰਾਪਤਿ ਤਿਸੁ ਗੁਰੁ ਦੇਇ ॥
jisahi paraapat tis gur day-ay.
He alone obtains it, unto whom the Guru has bestowed it.
Yeye pekee anaipokea, ambaye Guru anatawaza kwake.
ਨਾਨਕ ਬਿਰਥਾ ਕੋਇ ਨ ਹੇਇ ॥੪॥੨੭॥੯੬॥
naanak birthaa ko-ay na hay-ay. ||4||27||96||
O Nanak, no one shall go away empty-handed.
Ee Nanak, hakuna atakayeondoka mikono mitupu.
ਗਉੜੀ ਗੁਆਰੇਰੀ ਮਹਲਾ ੫ ॥
ga-orhee gu-aarayree mehlaa 5.
Raag Gauree Gwaarayree, by the Fifth Guru:
Raag Gauree Gwaarayree, na Guru wa Tano:
ਹਸਤ ਪੁਨੀਤ ਹੋਹਿ ਤਤਕਾਲ ॥
hasat puneet hohi tatkaal.
While writing the praises of God, your hands will be sanctified instantly,
Wakati unaandika sifa za Mungu, mikono yako itatakaswa papo hapo,
ਬਿਨਸਿ ਜਾਹਿ ਮਾਇਆ ਜੰਜਾਲ ॥
binas jaahi maa-i-aa janjaal.
and the worldly entanglements of maya are dispelled.
Na mitego ya kidunia ya Maya inaondolewa.
ਰਸਨਾ ਰਮਹੁ ਰਾਮ ਗੁਣ ਨੀਤ ॥
rasnaa ramhu raam gun neet.
Keep singing the glorious praises of God everyday,
Endelea kuimba sifa tukufu za Mungu kila siku,
ਸੁਖੁ ਪਾਵਹੁ ਮੇਰੇ ਭਾਈ ਮੀਤ ॥੧॥
sukh paavhu mayray bhaa-ee meet. ||1||
And you shall find spiritual bliss, O’ my brother, my friend.
Na utapata raha tele ya kiroho, Ee ndugu yangu, rafiki wangu.
ਲਿਖੁ ਲੇਖਣਿ ਕਾਗਦਿ ਮਸਵਾਣੀ ॥
likh laykhan kaagad masvaanee.
O’ my brother, with intellect as pen, mind as inkpot, write about God on the paper of your deeds.
Ee ndugu yangu, kwa akili kama kalamu, akili kama wino, andika kuhusu Mungu katika karatasi ya vitendo vyako.
ਰਾਮ ਨਾਮ ਹਰਿ ਅੰਮ੍ਰਿਤ ਬਾਣੀ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
raam naam har amrit banee. ||1|| rahaa-o.
Write about the ambrosial Divine words.
Andika kuhusu maneno takatifu yenye ambrosia.
ਇਹ ਕਾਰਜਿ ਤੇਰੇ ਜਾਹਿ ਬਿਕਾਰ ॥
ih kaaraj tayray jaahi bikaar.
By this deed, your vices shall be dispelled.
Kwa kitendo hiki, dhambi zako zitaondolewa.
ਸਿਮਰਤ ਰਾਮ ਨਾਹੀ ਜਮ ਮਾਰ ॥
simrat raam naahee jam maar.
By remembering God, you shall not suffer at the hands of demon of death.
Kwa kumkumbuka Mungu, hutateseka mikononi mwa pepo wa kifo.
ਧਰਮ ਰਾਇ ਕੇ ਦੂਤ ਨ ਜੋਹੈ ॥
Dharam raa-ay kay doot na johai.
The couriers of the Righteous Judge of Dharma shall not touch you,
Matarishi wa Hakimu wa Haki wa Dharma hawatakugusa.
ਮਾਇਆ ਮਗਨ ਨ ਕਛੂਐ ਮੋਹੈ ॥੨॥
maa-i-aa magan na kachhoo-ai mohai. ||2||
Because the worldly attachments (maya) shall not entice you at all.
Kwa sababu viambatisho vya kidunia (Maya) havitakuvutia hata kidogo.
ਉਧਰਹਿ ਆਪਿ ਤਰੈ ਸੰਸਾਰੁ ॥
uDhrahi aap tarai sansaar.
You shall be redeemed, and through you, the whole world shall be saved,
Utakombolewa, na kukupitia wewe, dunia nzima pia itakombolewa.
ਰਾਮ ਨਾਮ ਜਪਿ ਏਕੰਕਾਰੁ ॥
raam naam jap aykankaar.
if you remember God, the creator, provider and destroyer of the universe.
Iwapo umkumbuke Mungu, muumba, mpaji na mwangamizi wa ulimwengu.
ਆਪਿ ਕਮਾਉ ਅਵਰਾ ਉਪਦੇਸ ॥
aap kamaa-o avraa updays.
You should yourself earn the wealth of Naam and advice others to do so.
Wewe mwenyewe unafaa kuchuma utajiri wa Naam na kushauri wengine wafanye hivyo pia.
ਰਾਮ ਨਾਮ ਹਿਰਦੈ ਪਰਵੇਸ ॥੩॥
raam naam hirdai parvays. ||3||
Enshrine God’s Name in your heart.
Thamini Jina la Mungu moyoni mwako.
ਜਾ ਕੈ ਮਾਥੈ ਏਹੁ ਨਿਧਾਨੁ ॥
jaa kai maathai ayhu niDhaan.
That person in whose destiny the treasure of Naam is so pre-ordained,
Mtu huyo ambaye katika hatima yake hazina ya Naam imeagiziwa mapema,
ਸੋਈ ਪੁਰਖੁ ਜਪੈ ਭਗਵਾਨੁ ॥
so-ee purakh japai bhagvaan.
only that person, remembers God with love and devotion.
Mtu huyo pekee, anamkumbuka Mungu kwa upendo na kujitolea.
ਆਠ ਪਹਰ ਹਰਿ ਹਰਿ ਗੁਣ ਗਾਉ ॥
aath pahar har har gun gaa-o.
To the person, who at all the times sings praises of God,
Kwa mtu huyo, ambaye wakati wote anaimba sifa za Mungu,
ਕਹੁ ਨਾਨਕ ਹਉ ਤਿਸੁ ਬਲਿ ਜਾਉ ॥੪॥੨੮॥੯੭॥
kaho naanak ha-o tis bal jaa-o. ||4||28||97||
Nanak says, I dedicate my life to him.
Nanak asema, naweka wakfu maisha yangu kwake.
ਰਾਗੁ ਗਉੜੀ ਗੁਆਰੇਰੀ ਮਹਲਾ ੫ ਚਉਪਦੇ ਦੁਪਦੇ
raag ga-orhee gu-aarayree mehlaa 5 cha-upday dupday
Raag Gauree Gwaarayree, by the Fifth Guru, Chau-Padas, Du-Padas:
Raag Gauree Gwaarayree, na Guru wa Tano, Chau-Padas, Du-Padas:
ੴ ਸਤਿਗੁਰ ਪ੍ਰਸਾਦਿ ॥
ik-oNkaar satgur parsaad.
One Eternal God. Realized by the grace of the true Guru:
Mungu Mmoja wa Milele. Anayegunduliwa kwa neema ya Guru wa kweli:
ਜੋ ਪਰਾਇਓ ਸੋਈ ਅਪਨਾ ॥
jo paraa-i-o so-ee apnaa.
The worldly wealth and possessions which belongs to others, we claim as ours,
Utajiri na mali ya kidunia ambayo ni miliki ya wengine, tunadai kuwa yetu.
ਜੋ ਤਜਿ ਛੋਡਨ ਤਿਸੁ ਸਿਉ ਮਨੁ ਰਚਨਾ ॥੧॥
jo taj chhodan tis si-o man rachnaa. ||1||
Our mind is attached to things which are going to beabandoned as we depart from this world.
Akili yetu imejiambatisha kwa vitu ambavyo vitaachwa nyuma tunapoondoka kutoka dunia hii.
ਕਹਹੁ ਗੁਸਾਈ ਮਿਲੀਐ ਕੇਹ ॥
kahhu gusaa-ee milee-ai kayh.
Tell me, how can we meet the Master of the universe?
Niambie, tunawezaje kukutana na Bwana wa ulimwengu?
ਜੋ ਬਿਬਰਜਤ ਤਿਸ ਸਿਉ ਨੇਹ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
jo bibarjat tis si-o nayh. ||1|| rahaa-o.
when we are in love with whatever is forbidden.
Wakati tunapenda chochote ambacho kimepigwa marufuku.
ਝੂਠੁ ਬਾਤ ਸਾ ਸਚੁ ਕਰਿ ਜਾਤੀ ॥
jhooth baat saa sach kar jaatee.
Whatever is false and short lived, (such as our body), we deem it true,
Chochote ambacho sio cha kweli wala hakidumu, (kama mwili wetu), tunakifikiria kuwa cha kweli,
ਸਤਿ ਹੋਵਨੁ ਮਨਿ ਲਗੈ ਨ ਰਾਤੀ ॥੨॥
sat hovan man lagai na ratee. ||2||
but whatever is true (such as our death), does not convince our mind at all.
Lakini chochote ambacho ni cha kweli (kama kifo chetu), hakishawishi akili yetu hata kidogo.
ਬਾਵੈ ਮਾਰਗੁ ਟੇਢਾ ਚਲਨਾ ॥
baavai maarag taydhaa chalnaa.
We follow the crooked path of falsehood in our life.
Tunafuata njia iliyopinda ya udanganyifu maishani mwetu.
ਸੀਧਾ ਛੋਡਿ ਅਪੂਠਾ ਬੁਨਨਾ ॥੩॥
seeDhaa chhod apoothaa bunnaa. ||3||
Leaving the truthful way, we are weaving for ourselves a wrong pattern of life.
Tukiacha njia ya ukwelli, tunajisokotea ruwaza isiyo sahihi ya maisha.
ਦੁਹਾ ਸਿਰਿਆ ਕਾ ਖਸਮੁ ਪ੍ਰਭੁ ਸੋਈ ॥
duhaa siri-aa kaa khasam parabh so-ee.
(The mortals are also helpless), because God Himself is the Master of both good and bad events in life.
(Binadamu pia ni wanyonge), kwa sababu Mungu mwenyewe ndiye Bwana wa matukio mzuti na mbaya maishani.
ਜਿਸੁ ਮੇਲੇ ਨਾਨਕ ਸੋ ਮੁਕਤਾ ਹੋਈ ॥੪॥੨੯॥੯੮॥
jis maylay naanak so muktaa ho-ee. ||4||29||98||
O’ Nanak, whom He unites with Himself, is saved from the wrong Path.
Ee Nanak, yule ambaye anaunganisha naye Mwenyewe, anaokolewa kutoka njia isiyo sahihi.
ਗਉੜੀ ਗੁਆਰੇਰੀ ਮਹਲਾ ੫ ॥
ga-orhee gu-aarayree mehlaa 5.
Raag Gauree Gwaarayree, by the Fifth Guru:
Raag Gauree Gwaarayree, na Guru wa Tano:
ਕਲਿਜੁਗ ਮਹਿ ਮਿਲਿ ਆਏ ਸੰਜੋਗ ॥
kalijug meh mil aa-ay sanjog.
In the dark age of Kal Yug, they (husband and wife) come together through destiny.
Katika enzi yenye giza ya Kal Yug, wao (mume na mke) wanaungana pamoja kupitia hatima.
ਜਿਚਰੁ ਆਗਿਆ ਤਿਚਰੁ ਭੋਗਹਿ ਭੋਗ ॥੧॥
jichar aagi-aa tichar bhogeh bhog. ||1||
They enjoy each other’s company as long as God so permits.
Wanafurahia kuwepo kwao wenyewe ili mradi Mungu anaidhinisha.
ਜਲੈ ਨ ਪਾਈਐ ਰਾਮ ਸਨੇਹੀ ॥
jalai na paa-ee-ai raam sanayhee.
By burning herself on the pyre of her dead husband, a woman cannot be united with her beloved husband.
Kwa kujiteketeza katika rundo la kuni la maziko ya mume aliyekufa, mwanamke hawezi kuunganishwa na mume wake mpendwa.
ਕਿਰਤਿ ਸੰਜੋਗਿ ਸਤੀ ਉਠਿ ਹੋਈ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
kirat sanjog satee uth ho-ee. ||1|| rahaa-o.
She becomes Sati (women who burns herself alive at her husband’s pyre) with the hope of uniting with her dead husband.
Anakuwa Sati (mwanamke anayejiteketeza akiwa hai kwenye rundo la kuni la maziko ya mume wake) kwa tumaini la kuungana na mume wake aliyekufa.
ਦੇਖਾ ਦੇਖੀ ਮਨਹਠਿ ਜਲਿ ਜਾਈਐ ॥
daykhaa daykhee manhath jal jaa-ee-ai.
Imitating others, and following her stubborn mind, she burns herself.
Akiiga wengine, na kufuata akili yake kaidi, anajiteketeza.
ਪ੍ਰਿਅ ਸੰਗੁ ਨ ਪਾਵੈ ਬਹੁ ਜੋਨਿ ਭਵਾਈਐ ॥੨॥
pari-a sang na paavai baho jon bhavaa-ee-ai. ||2||
But, by doing this she does not obtain the Company of her dead beloved, instead she wanders through countless cycles of birth and death.
Lakini, kwa kufanya hivyo hapati Uandamano wa mpendwa wake aliyeaga, badala yake anazurura kupitia mizunguko ya kuzaliwa na kufa isiyohesabika.
ਸੀਲ ਸੰਜਮਿ ਪ੍ਰਿਅ ਆਗਿਆ ਮਾਨੈ ॥
seel sanjam pari-a aagi-aa maanai.
The women, who has self control and pious conduct, and obeys her beloved (husband).
Mwanamke, ambaye anaweza kujidhibiti na ana tabia njema, na anatii mpendwa (mume) wake.
ਤਿਸੁ ਨਾਰੀ ਕਉ ਦੁਖੁ ਨ ਜਮਾਨੈ ॥੩॥
tis naaree ka-o dukh na jamaanai. ||3||
Such a woman does not suffer at the hands of the demons of Death.
Mwanamke kama huyo hateseki mikononi mwa pepo wa Kifo.
ਕਹੁ ਨਾਨਕ ਜਿਨਿ ਪ੍ਰਿਉ ਪਰਮੇਸਰੁ ਕਰਿ ਜਾਨਿਆ ॥
kaho naanak jin pari-o parmaysar kar jaani-aa.
Nanak says, the women who loves only her husband and considers him like God,
Nanak anasema, mwanamke anayependa mume wake pekee na anamfikiria kama Mungu.
ਧੰਨੁ ਸਤੀ ਦਰਗਹ ਪਰਵਾਨਿਆ ॥੪॥੩੦॥੯੯॥
Dhan satee dargah parvaani-aa. ||4||30||99||
That women is the blessed Sati and she is received with honor in God’s court.
Mwanamke huyo ni Sati aliyebarikiwa na anapokelewa kwa heshima katika mahakama ya Mungu.
ਗਉੜੀ ਗੁਆਰੇਰੀ ਮਹਲਾ ੫ ॥
ga-orhee gu-aarayree mehlaa 5.
Raag Gauree Gwaarayree, by the Fifth Guru:
Raag Gauree Gwaarayree, na Guru wa tano:
ਹਮ ਧਨਵੰਤ ਭਾਗਠ ਸਚ ਨਾਇ ॥
ham Dhanvant bhaagath sach naa-ay.
I feel myself to be wealthy and fortunate with this treasure of True Naam.
Najihisi kuwa tajiri na mwenye bahati nikiwa na hazina hii ya Naam ya kweli.
ਹਰਿ ਗੁਣ ਗਾਵਹ ਸਹਜਿ ਸੁਭਾਇ ॥੧॥ ਰਹਾਉ ॥
har gun gaavah sahj subhaa-ay. ||1|| rahaa-o.
I sing the Glorious Praises of God, with natural, intuitive ease. ||1||Pause||
Naimba Sifa Tukufu za Mungu, kwa urahisi asilia na angavu. ||1||Sitisha||